LGE2024 Zitto Kabwe: Ofisi ya mtaa ni ya Raia wote

LGE2024 Zitto Kabwe: Ofisi ya mtaa ni ya Raia wote

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Zitto Kabwe amesema kuwa ofisi ya mtaa ni ya raia wote, baada ya kukuta CCM wamejenga Jiwe la Umoja wa Vijana CCM mbele ya ofisi ya serikali ya mtaa ya Bujimile, kata ya Nyamhongolo huko Ilemela.

Zitto amewaagiza viongozi wa ACT wazalendo katika kata hiyo kujenga na wao ngome yao kando ya kijiwe hiko.

Hii ndiyo kuita ubaya ubwela?

Screenshot 2024-10-31 094642.png
 
Hahahahahaha na Mimi raia wa kawaida nisiye na chama ila mlozi naenda kuweka kibuyu changu pembeni.
 
Thats Cheap, maeneo mengi ya serikal za mtaa ni ya CCM..

Hizi hasira kwenye harakati za Zitto mwishoni mwishoni hazibadili kitu.

Sleeping with the culprit on the same bed , then what? Finish your hot porridge man...

CCM wanajua nani ni nani na wanampataje...

You were warned.
 
Back
Top Bottom