the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
haswa ili iwe kama UNHapa Kila chama kiende kuweka bendera yake kwenye jengo hilo.
CCM ni wajinga snHapa Kila chama kiende kuweka bendera yake kwenye jengo hilo.
Sio dharau, ni ujumbe kuwa CCM ndio Serikali....Kwani kwa yanayoendelea wewe unapinga hilo? Yaani tuangalie uhalisia.Hii ni dharau kubwa sn
Pale Ununio CUF Ndio walijenga Ofisi za Serikali ya Mtaa 😀Hii ni dharau kubwa sn
Kwahiyo kuna bendera ya CUF?Pale Ununio CUF Ndio walijenga Ofisi za Serikali ya Mtaa 😀
Hapa Kila chama kiende kuweka bendera yake kwenye jengo hilo.
Poa mkuuNaomba futa jibu lako kwangu.
🤣Pole mkuu nilidhani upo CCM kama Lucas Mwashambwa
Imeisha hiyo mkuu
Kuna bendera ya Manispaa ya Kinondoni na bendera ya TaifaKwahiyo kuna bendera ya CUF?
Hapo hujaona jiwe la CCM?Kuna bendera ya Manispaa ya Kinondoni na bendera ya Taifa