Kwao ni KigomaAnagombea jimbo gani?
Kama ni Kigoma hatoboi.Kwao ni Kigoma
Kwa hili ameona mbali sn, Lisu anatosha uRaisTuwe wakweli anfahamu fika kwenye urais ni ndoto sasa unadhani wapi kwa kupata platform kama sio ubunge
Issue sio ni bunge la chama kimoja, issue ni kuwa yeye binafsi anautaka ubunge sababu ndio sehemu ambayo anaweza pata nafasi
Urais ni mgumu sana na hakuna anaeweza kutoboa
Njaa mbaya sanaZitto c alsema ubunge atawaachia akina Nondo
Kashabadilika Tena๐ ๐ ๐
Kuna MTU huko anaharisha muda huuKiongozi wa Chama Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hana mpango wa Kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 bali anadhani kuna haja ya kwenda kuimarisha Bunge.
Akizungumza kupitia Crown FM, Zitto amesema "Kama unavyofahamu Uchaguzi uliopita wengi tunaamini haukuwa Uchaguzi na ulizalisha Bunge la Chama kimoja, najiona nina wito wa kurejea Bungeni kushirikiana na Wabunge wengine ili kurejesha Siasa za masuala".
View attachment 3086294
Kwakweli๐ ๐ ๐Njaa mbaya sana
Kaona mama haeleweki na mbereko imekata anajiuliza huko mbele itakuwaje.Zitto c alsema ubunge atawaachia akina Nondo
Kashabadilika Tena๐ ๐ ๐
Naunga mkono hoja, ZZK ni mwanasiasa anayejitambua. Kuelekea 2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!Kiongozi wa Chama Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hana mpango wa Kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 bali anadhani kuna haja ya kwenda kuimarisha Bunge.
Akizungumza kupitia Crown FM, Zitto amesema "Kama unavyofahamu Uchaguzi uliopita wengi tunaamini haukuwa Uchaguzi na ulizalisha Bunge la Chama kimoja, najiona nina wito wa kurejea Bungeni kushirikiana na Wabunge wengine ili kurejesha Siasa za masuala".
View attachment 3086294
Zitto Kabwe ni ndumi la kuwili mkubwa...Hapo anasoma upepo akiangalia dini ya mgombea wa CCM.Kiongozi wa Chama Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hana mpango wa Kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 bali anadhani kuna haja ya kwenda kuimarisha Bunge.
Akizungumza kupitia Crown FM, Zitto amesema "Kama unavyofahamu Uchaguzi uliopita wengi tunaamini haukuwa Uchaguzi na ulizalisha Bunge la Chama kimoja, najiona nina wito wa kurejea Bungeni kushirikiana na Wabunge wengine ili kurejesha Siasa za masuala".
View attachment 3086294
Tunajua utampigia kampeni mama!! urais!! Mene mene tekeli na peresi inakuhusu na wewe piaKiongozi wa Chama Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hana mpango wa Kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 bali anadhani kuna haja ya kwenda kuimarisha Bunge.
Akizungumza kupitia Crown FM, Zitto amesema "Kama unavyofahamu Uchaguzi uliopita wengi tunaamini haukuwa Uchaguzi na ulizalisha Bunge la Chama kimoja, najiona nina wito wa kurejea Bungeni kushirikiana na Wabunge wengine ili kurejesha Siasa za masuala".
View attachment 3086294
LISUU anatoshaKiongozi wa Chama Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hana mpango wa Kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 bali anadhani kuna haja ya kwenda kuimarisha Bunge.
Akizungumza kupitia Crown FM, Zitto amesema "Kama unavyofahamu Uchaguzi uliopita wengi tunaamini haukuwa Uchaguzi na ulizalisha Bunge la Chama kimoja, najiona nina wito wa kurejea Bungeni kushirikiana na Wabunge wengine ili kurejesha Siasa za masuala".
View attachment 3086294