Hapo sawaKiongozi wa Chama Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hana mpango wa Kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 bali anadhani kuna haja ya kwenda kuimarisha Bunge.
Akizungumza kupitia Crown FM, Zitto amesema "Kama unavyofahamu Uchaguzi uliopita wengi tunaamini haukuwa Uchaguzi na ulizalisha Bunge la Chama kimoja, najiona nina wito wa kurejea Bungeni kushirikiana na Wabunge wengine ili kurejesha Siasa za masuala".
View attachment 3086294
Wewe toka lini ulicoment tofauti na sasa?Naunga mkono hoja, ZZK ni mwanasiasa anayejitambua. Kuelekea 2025 - Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli 2025, Iachane na Urais, Ujikite Serikali za Mitaa, Ubunge na Udiwani, Urais labda 2030!
P
Kama msimamo wangu ni huu kwanini ni comment tofauti?.Wewe toka lini ulicoment tofauti na sasa?
Tanzania ni nani alowahi kuuota urais akaupata Salim Ahmed Salim? Malichela? Mwandosya, Membe, LowasaTuwe wakweli anfahamu fika kwenye urais ni ndoto sasa unadhani wapi kwa kupata platform kama sio ubunge
Issue sio ni bunge la chama kimoja, issue ni kuwa yeye binafsi anautaka ubunge sababu ndio sehemu ambayo anaweza pata nafasi
Urais ni mgumu sana na hakuna anaeweza kutoboa
Huyu kishaahidiwa kupita ubunge. CCM wako tayari kumuachia jimbo.Kiongozi wa Chama Mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hana mpango wa Kugombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 bali anadhani kuna haja ya kwenda kuimarisha Bunge.
Akizungumza kupitia Crown FM, Zitto amesema "Kama unavyofahamu Uchaguzi uliopita wengi tunaamini haukuwa Uchaguzi na ulizalisha Bunge la Chama kimoja, najiona nina wito wa kurejea Bungeni kushirikiana na Wabunge wengine ili kurejesha Siasa za masuala".
View attachment 3086294
Lisu labda atapata kura 5%. Kipindi cha magu aliwapa airtime sana na hija nyungi za kuongea kwa udhaifu wake wa kiuongozi sasa mama kaziba kila konaKwa hili ameona mbali sn, Lisu anatosha uRais
KikweteTanzania ni nani alowahi kuuota urais akaupata Salim Ahmed Salim? Malichela? Mwandosya, Membe, Lowasa
Tuwe wakweli anfahamu fika kwenye urais ni ndoto sasa unadhani wapi kwa kupata platform kama sio ubunge
Issue sio ni bunge la chama kimoja, issue ni kuwa yeye binafsi anautaka ubunge sababu ndio sehemu ambayo anaweza pata nafasi
Urais ni mgumu sana na hakuna anaeweza kutoboa
Anatobowa saa mbili asubuhi, kama wewe ndio Kirumbe tunza pesa ys kiinuwa mgongoz ukiipeleka kwenye uchaguzi imekula kwako.Kama ni Kigoma hatoboi.
Inauma sana kuona watu wanajenga hoja kwa udini karne hii 20.Zitto Kabwe ni ndumi la kuwili mkubwa...Hapo anasoma upepo akiangalia dini ya mgombea wa CCM.
Kama Samia anaendelea Zito hatagombea, ila kama Samia akipumzika Zito atagombea kwa maana anayefuata ni mkristo.
Uko sahihiBinafsi, nampenda Zitto kabwe akiwa bungeni, hata lissu namkubali akiwa bungeni, Nje ya hapo they are not my favorite.
Nadhani target ya jamaa ni kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.Tuwe wakweli anfahamu fika kwenye urais ni ndoto sasa unadhani wapi kwa kupata platform kama sio ubunge
Issue sio ni bunge la chama kimoja, issue ni kuwa yeye binafsi anautaka ubunge sababu ndio sehemu ambayo anaweza pata nafasi
Urais ni mgumu sana na hakuna anaeweza kutoboa
Mpikie chai kwanza mumeo anywe achana na siasaLisu labda atapata kura 5%. Kipindi cha magu aliwapa airtime sana na hija nyungi za kuongea kwa udhaifu wake wa kiuongozi sasa mama kaziba kila kona