Hujui usemalo. Mwenzio kaelewa, kimya. Debe shinda wewe!Wewe hujui kitu waache wanaojua wachangie kafanye home work kijana!
Unampenda mtu uliyegundua ni mnafiki na ww ni mnafiki tu sema hamjajuana!
Unampenda mtu uliyegundua ni mnafiki na ww ni mnafiki tu sema hamjajuana!
Chuki sio nzuri,kwa sababu mwenye chuki ni kama muuwaji,unapaswa kumwambia mtu ukweli na sio kumchukia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata SGR haikupitishwa na bunge....Hivi
1. UWanja wa ndege wa chato ulipitishwa na bunge lipi?
2. Ununuzi wa ndege Je? mi nataja tu hayo mawili, najua yako mengine mengi. Si yeye awe wa kwanza kujiuzulu?
Hivi
1. UWanja wa ndege wa chato ulipitishwa na bunge lipi?
2. Ununuzi wa ndege Je? mi nataja tu hayo mawili, najua yako mengine mengi. Si yeye awe wa kwanza kujiuzulu?
Ujenzi wa mahakama Chato,mbuga hospitali ya rufaa imepitishwa na bunge gani? Pesa inatoka wap?
Sent using Jamii Forums mobile app
Elewa nguvu ya ikulu katika maamuzi,ni swala la katiba kukaa vibaya..hapo utaona bunge halina nguvu kuzidi Ikulu..Kwahiyo Kangi na wenzake wangeshare ideas zao na Ikulu wakakubaliwa,kusingekua na shida..Inajulikana mtoto wa nyoka ni nyoka tu hawezi kuwa mjusi
Inauma sana pale unapofanya jambo lile lile alifanya kiongozi wa juu yako lakini wewe inaonekana umekosea ila yeye yuko sahihi
Nimeangalia video hii nimegundua mzee Magu ni mnafiki kuliko tunavyofikiria,anasema eti "TATIZO NI UADILIFU duh!!!!UNAINGIA MIKATABA YA MIRADI BILA KUPITISHWA NA BUNGE"
Sasa huyu mzee kafanya mangap pale kwake bila bunge kujua na kupitisha? Anaposema tatizo la viongozi ni uadilifu yeye ana uadilifu gani kwa wananchi?
Mkumbuke hata CAG aliepita kipenzi cha wengi aliwahi kusema kuna pesa haionekani (sio kama imeibiwa) imetumiwa bila maelezo. Kweli dunia sio sawa. Anasema hapendi unafiki lakini yeye ni wa kwanza mana anajifanya anatupenda kumbe anajua kula na kipofu tu.
Nampenda huyu raisi lakini kwa hili mimi mwenyewe siwez kuwa mnafiki, ANAPASWA KUJITATHMINI KWANZA YEYE NDIO VIONGOZI WENGINE WAFUATE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mkataba alioingia umeuelewa lakini?
Kwa hyo jiwe katupiga fix kama kawaida yake?Hayo ni maneno ya Director for communications and foreign affairs, John Mrema.[emoji116][emoji116]View attachment 1334229
Sent from my xxxx using JamiiForums mobile app
Kwa hyo jiwe katupiga fix kama kawaida yake?
Kama kawaida ya asifiwe yeye tuKwa hyo jiwe katupiga fix kama kawaida yake?