Zitto Kabwe: Tangu lini Rais anaheshimu Bunge? Kosa la Lugola ni kufanya dili kwa kumzunguka Rais, hoja ya Bunge ni kisingizio tu

Zitto anamfananisha Waziri na Rais?.......

Waziri unaweza kumlinganisha na KUB au RC fullstop!
 
Kwenye kuzungukana ndiko kunakowaumbua majambazi na kuwafanya wakamatwe kiulaiini na polisi, kama vile wanaokota kumbikumbi kwenye kichuguu.
 
Naona Musiba amenyuliwa..kesho kipeperushi chake kitakuwa na picha kubwa akipiga mauno kwenye front page.

Kangi kaondoka akiwa bado hajamkamata Kigogo.

Watanzania wangekuwa na akili wasingechagua tena CCM maana wizi umetamalaki kila mahali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto,
Zitto, unataka kumlinganisha Rais na waziri, your head should be examined
 


Je kama mkataba ulisainiwa nje ya nchi, na safari za nje lazima kibali kitoke Ikulu, nani alieidhinisha hiyo safari? Mtihani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…