ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #261
Wewe ni kopo,dini yake inahusikaje na alichoandika?Huyu ni Msenge tu, sijawah mwelewa sijui ni Gongo au Majini yanamsumbua...
Mada zake ukizichimba anasimama kidini zaidi japo anajificha kwenye wingi wa hoja za hovyo.
Kwani haujui kuwa Lissu ni kibaraka wa Wazungu?Kwani haujui kuwa Zitto ni kibaraka wa ccm au unadanganywa na hizo rangi za bendera??
Kimsingi matatizo yote haya ni sababu ccm haiwezi kutawala nchi zote 2. Kuna uholela mwingi kwenye huu muungano wa shuruti. Ogopa sana muungano ambao watetezi wake wanasema uendelee kuwepo maana ni wa kipekee duniani. Huyo Zito roho ya chama chake Iko Zanzibar, hawezi kuongea chochote nje ya hapo.
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar.
Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu amesema Kwa masuala ya Muungano yanayohusu Mapato, Zanzibar hupata asilimia 2% pekee na ndio imekuwa mojawapo ya Changamoto za Muungano Kwa miaka Mingi.
Aidha Kwa wale msiojua TRA inakusanya zaidi ya Bilioni 400 Kila mwaka kutoka Zanzibar ambazo Kwa sehemu kubwa zinatumika Bara.
=======
MAPATO KARIBU YOTE YA MUUNGANO HUCHUKULIWA NA TANZANIA BARA - ZITTO
Zitto Kabwe amesema Mapato yote ya Muungano kutoka mambo ya muungano, Zanzibar inatumia 2% tu, wakati Tanganyika inatumia 98%. Ziada ya mapato ya Muungano ukiondoa matumizi ya muungano yote inachukuliwa na Tanganyika," Zitto Kabwe
Pia ameeleza kuwa Zanzibar wanapata 4.5% tu ya mikopo na misaada ya kimataifa kutoka nje. Zanzibar inaidai Serikali ya Muungano matrilioni ya fedha ambazo hawapati kama mgawo wao. Ukweli ni kwamba hata mtaji wa kuanzisha Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zilitumika fedha za Zanzibar
========
My Take
Naunga mkono hoja ya Zito, Wazanzibar ndio wanapaswa kulaumu na kulalamika kuhusu Muungano kwamba wanapunjwa na sio Tanzania Bara kama wanavyodanganywa na kina Lissu.
Unajaribu kujiuliza, Chadema na Lisu wake na kina Mbowe wanahubiri Mgawanyiko,chuki na Utengano wa Tanzania Kwa maslahi ya nani hasa?
Mfanyakazi Online Media
Ni kipi wazungu wanakikosa hapa nchini hivi Sasa, Hadi wamfanye Lisu kibaraka wao?Kwani haujui kuwa Lissu ni kibaraka wa Wazungu?
Zitto yuko makini kivipi ?Zito huwa yuko makini sana, huchagua angel moja muhimu na kuielezea kifasaha sana kwa lugha rahisi, ya busara na ya staha sana.....
sasa sikilizia mamluki wa kibaraka, kwanza watachangamka kidogo, japo watakua wamechanganyikiwa vibaya zaidi π
Bora kuwa kibaraka wa wazungu kuliko kuwa kibaraka wa hawa matakataka wengine wanaokunya wamechuchumaaKwani haujui kuwa Lissu ni kibaraka wa Wazungu?
Hapa ndipo uzuzu wao unapoonekana, yaani karume aliyezaliwa Malawi ni sawa ila Mwinyi aliyezaliwa Tanganyika siyo sawa.Fatma haoni irony ya kumuita Ali Hassan Mwinyi mtanganyika kwa sababu tu alizaliwa kivure Tanganyika. Kuwa alisoma primary Zanzibar na aliishi huko sehemu kubwa ya maisha yake yote. Wakati wa uhuru wa Tanganyika alikuwa Uingereza na aliporudi alirudi Zanzibar kama mkuu wa chuo. Wakati wa mapinduzi alikuwa Zanzibar, sio Tanganyika. Anasahau kuwa babu yake alizaliwa Nyasa mwaka 1905 na hivyo kwa tafsiri yake hakuwa mzanzibari. Ana selective memory. Hajawahi kuzungumzia ubaya wa babu yake lakini kutwa anashupalia ubaya wa watanganyika!
Amandla...
Shida ya Muungano ni kutokuunga tukawa kama vile tunavyojua maana ya Muungano, badala yake kuacha mianya ya kitu kinaitwa Kero za Muungano, ambazo haziishi hadi kesho. Lakini ukiacha kuwa kweli kwenye swala la mapato Zanzibar Wanapunjwa kwenye Ugavi kuna shida nyingine hii ya Muundo Wa Utawala. Mfano Ivi Leo Hii Mtu Akiulizwa ipo wapi Serikali yaMuungano Tunajibuje? Rais wa aTanganyika Yupo Wapi? Waziri Mkuu Ana Eneo Dogo Sana La Kucheza Kule Znz Na Spika Pia? Bunge la Tanganyika Tukubali Limezikwa Rasmi Lakini Ugonjwa Uliosababisha Kifo Cha Bunge La Muungano Ilikuwaje Baraza la Uwakilishi Lilipata Chanjo? Muungano Mzuri Lakini Tuungano Basi
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar.
Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu amesema Kwa masuala ya Muungano yanayohusu Mapato, Zanzibar hupata asilimia 2% pekee na ndio imekuwa mojawapo ya Changamoto za Muungano Kwa miaka Mingi.
Aidha Kwa wale msiojua TRA inakusanya zaidi ya Bilioni 400 Kila mwaka kutoka Zanzibar ambazo Kwa sehemu kubwa zinatumika Bara.
=======
MAPATO KARIBU YOTE YA MUUNGANO HUCHUKULIWA NA TANZANIA BARA - ZITTO
Zitto Kabwe amesema Mapato yote ya Muungano kutoka mambo ya muungano, Zanzibar inatumia 2% tu, wakati Tanganyika inatumia 98%. Ziada ya mapato ya Muungano ukiondoa matumizi ya muungano yote inachukuliwa na Tanganyika," Zitto Kabwe
Pia ameeleza kuwa Zanzibar wanapata 4.5% tu ya mikopo na misaada ya kimataifa kutoka nje. Zanzibar inaidai Serikali ya Muungano matrilioni ya fedha ambazo hawapati kama mgawo wao. Ukweli ni kwamba hata mtaji wa kuanzisha Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zilitumika fedha za Zanzibar
========
My Take
Naunga mkono hoja ya Zito, Wazanzibar ndio wanapaswa kulaumu na kulalamika kuhusu Muungano kwamba wanapunjwa na sio Tanzania Bara kama wanavyodanganywa na kina Lissu.
Unajaribu kujiuliza, Chadema na Lisu wake na kina Mbowe wanahubiri Mgawanyiko,chuki na Utengano wa Tanzania Kwa maslahi ya nani hasa?
Mfanyakazi Online Media
Huyu chenga tu kwanini asioneshe pia wao wanachangia kiasi gani
Mbona ameeleza hilo, au mpaka aseme Lisu au Mbowe ndio uamini? Lisu anakujazeni ujinga.Aidha Kwa wale msiojua TRA inakusanya zaidi ya Bilioni 400 Kila mwaka kutoka Zanzibar ambazo Kwa sehemu kubwa zinatumika Bara.
Sawa, lete takwimu za mapato za temeke tulinganishe na za Zanzibar kiongoziSie hatuzungumzii kijiografia bali tunazungumzia kiupana wa mipaka na kiuzalishaji.
Sijui umeelewa mkuu!?
Tunazungumzia kiutendaji/kiuzalishaji.
Swala siyo kupunjwa au kufaidi swala ni kuwa Muungano wenyewe haujakaa vizuri. Muungano huu unaongeza gharama kubwa sana kwa nchi husika, kwa mfano swala la ulinzi ni swala la Muungano analipa nani hayo majeshi na POLISI halafu hapo hapo Zanzibar wanaanzisha Jeshi lingene la Kmkm ambalo ni matumizi maradufu. Huu Muungano unakiwa kuendelea kuchambuliwa sana na ukivunjika Zanzibar uchimi wao utaimarika mara mia kwasabu ni wachache na si watu wa mambo mengi. Zanzibar hakuna rushwa kama huku kiasi kama ni ujenzi au ni ununuzi wa vitu unakwenda straight. Zanzibar uchumi wa Bahari tu unawatosha kuendesha uchumi wake na Chenji ikabaki. Zanzibar kunasadikika kuna akiba kubwa ya mafuta ambayo sisi tunayamezea mate. Muungano unashida unaitajika mjadala wa kiuchumi siyo wakisiasa.
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar.
Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu amesema Kwa masuala ya Muungano yanayohusu Mapato, Zanzibar hupata asilimia 2% pekee na ndio imekuwa mojawapo ya Changamoto za Muungano Kwa miaka Mingi.
Aidha Kwa wale msiojua TRA inakusanya zaidi ya Bilioni 400 Kila mwaka kutoka Zanzibar ambazo Kwa sehemu kubwa zinatumika Bara.
=======
MAPATO KARIBU YOTE YA MUUNGANO HUCHUKULIWA NA TANZANIA BARA - ZITTO
Zitto Kabwe amesema Mapato yote ya Muungano kutoka mambo ya muungano, Zanzibar inatumia 2% tu, wakati Tanganyika inatumia 98%. Ziada ya mapato ya Muungano ukiondoa matumizi ya muungano yote inachukuliwa na Tanganyika," Zitto Kabwe
Pia ameeleza kuwa Zanzibar wanapata 4.5% tu ya mikopo na misaada ya kimataifa kutoka nje. Zanzibar inaidai Serikali ya Muungano matrilioni ya fedha ambazo hawapati kama mgawo wao. Ukweli ni kwamba hata mtaji wa kuanzisha Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zilitumika fedha za Zanzibar
========
My Take
Naunga mkono hoja ya Zito, Wazanzibar ndio wanapaswa kulaumu na kulalamika kuhusu Muungano kwamba wanapunjwa na sio Tanzania Bara kama wanavyodanganywa na kina Lissu.
Unajaribu kujiuliza, Chadema na Lisu wake na kina Mbowe wanahubiri Mgawanyiko,chuki na Utengano wa Tanzania Kwa maslahi ya nani hasa?
Mfanyakazi Online Media
KMKM inagharamiwa 100% na Zanzibar.Pili unahoji gharama za kulinda Nchi? Uko serious?Swala siyo kupunjwa au kufaidi swala ni kuwa Muungano wenyewe haujakaa vizuri. Muungano huu unaongeza gharama kubwa sana kwa nchi husika, kwa mfano swala la ulinzi ni swala la Muungano analipa nani hayo majeshi na POLISI halafu hapo hapo Zanzibar wanaanzisha Jeshi lingene la Kmkm ambalo ni matumizi maradufu. Huu Muungano unakiwa kuendelea kuchambuliwa sana na ukivunjika Zanzibar uchimi wao utaimarika mara mia kwasabu ni wachache na si watu wa mambo mengi. Zanzibar hakuna rushwa kama huku kiasi kama ni ujenzi au ni ununuzi wa vitu unakwenda straight. Zanzibar uchumi wa Bahari tu unawatosha kuendesha uchumi wake na Chenji ikabaki. Zanzibar kunasadikika kuna akiba kubwa ya mafuta ambayo sisi tunayamezea mate. Muungano unashida unaitajika mjadala wa kiuchumi siyo wakisiasa.
Ndio maana ninakwambia wewe ni mbumbumbuKwa uchumi,
Kwa Idadi ya watu
Kwa majengo
Kwa elimu
Kwa Miundombinu
Yani hakuna hata kipengele kimoja hapo ambapo Zanziba inaipita Temeke...
Jimbo watu 7,000 πππ
Kupenda vya dezo tu....
Madaraka ,Ushoga nkNi kipi wazungu wanakikosa hapa nchini hivi Sasa, Hadi wamfanye Lisu kibaraka wao?
Nani anataka kuvuruga Tanzania zaidi ya nyie Machadema? Harafu Tanzania ikifa nyie Machadema na wale ewajinga mtanufaikaje Sasa?Kimsingi matatizo yote haya ni sababu ccm haiwezi kutawala nchi zote 2. Kuna uholela mwingi kwenye huu muungano wa shuruti. Ogopa sana muungano ambao watetezi wake wanasema uendelee kuwepo maana ni wa kipekee duniani. Huyo Zito roho ya chama chake Iko Zanzibar, hawezi kuongea chochote nje ya hapo.
haropoki tu kama kibaraka wala hana mihemko πZitto yuko makini kivipi ?
Katika hela inayokusanywa ni percent ngapi inatoka Zanzibar ?
Na ni taasisi gani Zanzibar inayokusanya mapato halafu inaituma Tanganyika ? Itaje.
Kaka unatakiwa utafakari kabla hujaongea.Swala siyo kupunjwa au kufaidi swala ni kuwa Muungano wenyewe haujakaa vizuri. Muungano huu unaongeza gharama kubwa sana kwa nchi husika, kwa mfano swala la ulinzi ni swala la Muungano analipa nani hayo majeshi na POLISI halafu hapo hapo Zanzibar wanaanzisha Jeshi lingene la Kmkm ambalo ni matumizi maradufu. Huu Muungano unakiwa kuendelea kuchambuliwa sana na ukivunjika Zanzibar uchimi wao utaimarika mara mia kwasabu ni wachache na si watu wa mambo mengi. Zanzibar hakuna rushwa kama huku kiasi kama ni ujenzi au ni ununuzi wa vitu unakwenda straight. Zanzibar uchumi wa Bahari tu unawatosha kuendesha uchumi wake na Chenji ikabaki. Zanzibar kunasadikika kuna akiba kubwa ya mafuta ambayo sisi tunayamezea mate. Muungano unashida unaitajika mjadala wa kiuchumi siyo wakisiasa.
Poorest nations in the world top 30 amongst;What is the poorest country in the world?
Africa
- Somalia.
- South Sudan.
- Sudan.
- Tanzania.
- The Gambia.
- Togo.
- Uganda.
- Zambia.
Tizama uwiano hapo chini.Sawa, lete takwimu za mapato za temeke tulinganishe na za Zanzibar kiongozi