ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #161
Hiyo TRA ni chanzo Kimoja tuu ila kuna Utitiri wa Mataasisi yanayokusanya pesa Bara na Zanzibar.Bado kuna na tozo mkuu, Watumiaji wa mitandao wote zanzibar wanakatwa tozo na Jamhuri, Mitandao ya simu, ma bank, yote yana operate zanzibar huku kodi zao wakiwa wanalipa Bara. watalii wote wanaokwenda zanzibar hela ya visa inaingia kwa Jamhuri.
waulize watanganyika wachache waliopo, waTanzania tunasonga mbeleunaijua ZRA wewe tuambie tanganyika tunapata % ngapi
Zitto ana Siasa za kitoto sanaZitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar.
Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu amesema Kwa masuala ya Muungano yanayohusu Mapato, Zanzibar hupata asilimia 2% pekee na ndio imekuwa mojawapo ya Changamoto za Muungano Kwa miaka Mingi.
Aidha Kwa wale msiojua TRA inakusanya zaidi ya Bilioni 400 Kila mwaka kutoka Zanzibar ambazo Kwa sehemu kubwa zinatumika Bara.
=======
MAPATO KARIBU YOTE YA MUUNGANO HUCHUKULIWA NA TANZANIA BARA - ZITTO
Zitto Kabwe amesema Mapato yote ya Muungano kutoka mambo ya muungano, Zanzibar inatumia 2% tu, wakati Tanganyika inatumia 98%. Ziada ya mapato ya Muungano ukiondoa matumizi ya muungano yote inachukuliwa na Tanganyika," Zitto Kabwe
Pia ameeleza kuwa Zanzibar wanapata 4.5% tu ya mikopo na misaada ya kimataifa kutoka nje. Zanzibar inaidai Serikali ya Muungano matrilioni ya fedha ambazo hawapati kama mgawo wao. Ukweli ni kwamba hata mtaji wa kuanzisha Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zilitumika fedha za Zanzibar
========
View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1785636663323996254?t=s92jVBKH81hHu1XZDDDIwg&s=19
My Take
Naunga mkono hoja ya Zito, Wazanzibar ndio wanapaswa kulaumu na kulalamika kuhusu Muungano kwamba wanapunjwa na sio Tanzania Bara kama wanavyodanganywa na kina Lissu.
View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1785629244741005525?t=aa-cd8j2wSKWNuS9EY_8Dw&s=19
Unajaribu kujiuliza, Chadema na Lisu wake na kina Mbowe wanahubiri Mgawanyiko,chuki na Utengano wa Tanzania Kwa maslahi ya nani hasa?
Matajiri ni wapemba waarabu.
Generally tuseme waarabu,wazanzibari hawana hurka ya maendeleo,hawapendi kusoma na wanapenda umwinyi.
Zanzibar kama ingeachwa yenyewe ingebaki MASIKINI KUTUPWA.
Nenda Zanzibar halafu ukaone maisha yao.
Mtu anafanya kazi akishapata hela ya kula basi anarudi nyumbani kupumzika,elimu hawataki wanashikilia kusomeshana elimu ya majini tu.
Jibu swali.Soma mada
Mfano kwa Mwaka jana kila mwezi Zanzibar iliingiza ngapi na ikapewa ngapi?Sasa hapo Zanzibar inaibiwa na kupunjwa
Kila siku nunajadili masuala haya lkn hatupati suluhusho kwasababu baadhi ya wachangiaji hawaelewi hata kinachobishaniwa, Kwanza mnatakiwa muelewe kuwa chanzo kikuu cha hayo yanayoitwa 'mapato ya muungano' yanayobishaniwa ni misaada kutoka nje, sio mapato ya korosho, pamba, utalii, bandari n.k. Naamini ungeelewa hili kabla, usingeuliza wao wanachangia kiasi gani.Huyu chenga tu kwanini asioneshe pia wao wanachangia kiasi gani
wewe huishi Zanzibar, huwa unasikiliza stori za vijiweni tu kwa hivyo endelea tu.mh...
Hii nchi ambayo ipo kwenye soko huru na Oman,uagizaji vitu kwa kodi nafuu...
Watu hukimbilia huko kununua vifaa vya electronics kisa bei chee...
Bidhaa zipi Zanzibar ni bei ghali, mbona watupiga changa la macho.
Mamlaka yake ya kodi ipo ni ZRA na mamlaka ya muungano TRA pia ipo znz inakusanya mapatoWeka hoja zako badala ya vitisho.
Zanzibar inayo mamlaka yake inayokusanya kodi.
Sasa mbona munalalamika? Kaeni kimya basi pole sanaUle uwe mkoa tu maana sisi waTanganyika hatuna mpango wa kuiacha ile ardhi na bahari yake. Ule ni urithi wa baba Nyerere na Karume hauuzwi. Akitokea mtoto anataka kuuza tunamvamia kama nyuki wanavyovamia mvuna asali.
Wewe huna hoja umeandika porojo tu huna ujualo pole sanaHuu Muungano unawabeba sana wapemba.
Zanzibar ni visiwa vya watu wenye asili ya uvivu na ujinga.
Kupiga hatua kwa Tanganyika kumewaokoa sana hawa jamaa.
Hata huyu Bakhresa kwanini hajawekeza Zanzibar na akawekeza Tanganyika!?
Ulishawahi kujiuliza hilo!?
Kwanini hao wenyewe huja kuwekeza huku bara na sio huko kwao visiwani!?
Tanganyika kuna room of adjustment ambayo huwezi ikuta visiwani.
Embu tembeeni ninyi jamaa mkaone hiyo Zanzibar.
Mkuu Zanzibar nishafika,,,wewe huishi Zanzibar, huwa unasikiliza stori za vijiweni tu kwa hivyo endelea tu.
Hebu zitaje hizo Taasisi angalau 8,ambazo zinafanya hayo makusanyo huko Zanzibar...Hiyo TRA ni chanzo Kimoja tuu ila kuna Utitiri wa Mataasisi yanayokusanya pesa Bara na Zanzibar.
Kiufupi Zanzibar inapinjwa parefu.
Huyu msaliti hana jipya! Aulizwe zanzibar wanazalisha nini? Je mapato ya uzalishaji wa zanzibar vinakuja bara! RubbishYeye akiwa Rais atawagawanya bara sawa kwa sawa na visiwani. Je Ratio ya mapato bara na visiwani yakoje?
Mijadala mingi humu inaharibiwa na wapuuzi, hivi kwa mfano suala la swala tano linahusianaje hapa? mimi nadhani suala la kipato cha nchi au mtu binafsi hakihusiani na imani. ndio maana unawezakuta kuna 'swala tano' ana elimu na maendeleo kuliko hata mliberali, tujikite kwenye mada tusijetukaonekana kuwa sote ni wajingaNdio matajiri wa Bara hapa,punguzeni majungu na fitina pigeni kazi
Kwenda zako wale mamwinyi swala Tano kazi Gani wanaweza?
temeke ina wapiga kura more than a milion, ina wabunge 6, zanzibar in wapiga kura kama laki tano tu, ina wabunge 50 bara, hao wote wanakula posho, na bado wanalaumu bara.Kapate Kwa uwiano sawa na kanachochangia
Said Salim Bakhresa, Harun Zakaria, Salim Turky hawa nao ni Swala 5 wa kizanzibar lakini ni moja ya matajiri wakubwa hapa Tanzania unasemaje kuhusu hilo?Kwenda zako wale mamwinyi swala Tano kazi Gani wanaweza?
Chetu Chao, Chao Chao.Mamlaka yake ya kodi ipo ni ZRA na mamlaka ya muungano TRA pia ipo znz inakusanya mapato
Kwani haujasikia kwenye mikutano yao zile salamu zao kila kiongozi apandapo jukwaani.Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar.
Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu amesema Kwa masuala ya Muungano yanayohusu Mapato, Zanzibar hupata asilimia 2% pekee na ndio imekuwa mojawapo ya Changamoto za Muungano Kwa miaka Mingi.
Aidha Kwa wale msiojua TRA inakusanya zaidi ya Bilioni 400 Kila mwaka kutoka Zanzibar ambazo Kwa sehemu kubwa zinatumika Bara.
=======
MAPATO KARIBU YOTE YA MUUNGANO HUCHUKULIWA NA TANZANIA BARA - ZITTO
Zitto Kabwe amesema Mapato yote ya Muungano kutoka mambo ya muungano, Zanzibar inatumia 2% tu, wakati Tanganyika inatumia 98%. Ziada ya mapato ya Muungano ukiondoa matumizi ya muungano yote inachukuliwa na Tanganyika," Zitto Kabwe
Pia ameeleza kuwa Zanzibar wanapata 4.5% tu ya mikopo na misaada ya kimataifa kutoka nje. Zanzibar inaidai Serikali ya Muungano matrilioni ya fedha ambazo hawapati kama mgawo wao. Ukweli ni kwamba hata mtaji wa kuanzisha Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zilitumika fedha za Zanzibar
========
View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1785636663323996254?t=s92jVBKH81hHu1XZDDDIwg&s=19
My Take
Naunga mkono hoja ya Zito, Wazanzibar ndio wanapaswa kulaumu na kulalamika kuhusu Muungano kwamba wanapunjwa na sio Tanzania Bara kama wanavyodanganywa na kina Lissu.
View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1785629244741005525?t=aa-cd8j2wSKWNuS9EY_8Dw&s=19
Unajaribu kujiuliza, Chadema na Lisu wake na kina Mbowe wanahubiri Mgawanyiko,chuki na Utengano wa Tanzania Kwa maslahi ya nani hasa?
Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu amesema Kwa masuala ya Muungano yanayohusu Mapato, Zanzibar hupata asilimia 2% pekee na ndio imekuwa mojawapo ya Changamoto za Muungano Kwa miaka Mingi.