LGE2024 Zitto Kabwe: Tukishinda tutadhibiti ukamataji holela unaofanywa na Jeshi La Polisi

LGE2024 Zitto Kabwe: Tukishinda tutadhibiti ukamataji holela unaofanywa na Jeshi La Polisi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mnakumbuka zile kamata kamata za wapinzani na wafanyabiashara? It seems kama ACT Wazalendo wamekuja na muarubaini wa tatizo hilo

Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema endapo chama hicho kitapewa mamlaka na wananchi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, kitahakikisha kinadhibiti ukamataji holela unaotajwa kufanywa na Jeshi la Polisi bila ya kutoa taarifa kwenye serikali ya kijiji au kitongoji.

Soma pia: itto Kabwe: Sitagombea Urais 2025, nitarejea kuimarisha Bunge

Akizungumza wakati akifungua kampeni za ACT za uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kijiji cha Songambele kilichopo kata ya Uyowa, jimbo la Ulyankulu mkoani Tabora, Novemba 20, 2024, Zitto Kabwe amesema ni muda mwafaka wa kuhakikisha utaratibu wa ukamataji watu unafuatwa, na kwamba hilo litawezekana tu ikiwa tu kutakuwa na utawala mzuri wa sharia ngazi ya kijiji utakaowekwa na chama hicho endapo kitapewa ridhaa

Sambamba na hilo. kiongozi huyo amesema chama chake kikipata ridhaa kitakomesha rushwa katika ofisi za vijiji kwa kuhakikisha kinatoa huduma bure kwa wananchi.

 
Wakuu,

Mnakumbuka zile kamata kamata za wapinzani na wafanyabiashara? It seems kama ACT Wazalendo wamekuja na muarubaini wa tatizo hilo

Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema endapo chama hicho kitapewa mamlaka na wananchi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, kitahakikisha kinadhibiti ukamataji holela unaotajwa kufanywa na Jeshi la Polisi bila ya kutoa taarifa kwenye serikali ya kijiji au kitongoji.

Soma pia: itto Kabwe: Sitagombea Urais 2025, nitarejea kuimarisha Bunge

Akizungumza wakati akifungua kampeni za ACT za uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kijiji cha Songambele kilichopo kata ya Uyowa, jimbo la Ulyankulu mkoani Tabora, Novemba 20, 2024, Zitto Kabwe amesema ni muda mwafaka wa kuhakikisha utaratibu wa ukamataji watu unafuatwa, na kwamba hilo litawezekana tu ikiwa tu kutakuwa na utawala mzuri wa sharia ngazi ya kijiji utakaowekwa na chama hicho endapo kitapewa ridhaa

Sambamba na hilo. kiongozi huyo amesema chama chake kikipata ridhaa kitakomesha rushwa katika ofisi za vijiji kwa kuhakikisha kinatoa huduma bure kwa wananchi.

View attachment 3157860
Thubutu. Anajidanganta Sana.

Wakishinda nini?


In order to stop a bad man with a gun it requires a good guy with a gun!
 
Wakuu,

Mnakumbuka zile kamata kamata za wapinzani na wafanyabiashara? It seems kama ACT Wazalendo wamekuja na muarubaini wa tatizo hilo

Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema endapo chama hicho kitapewa mamlaka na wananchi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, kitahakikisha kinadhibiti ukamataji holela unaotajwa kufanywa na Jeshi la Polisi bila ya kutoa taarifa kwenye serikali ya kijiji au kitongoji.

Soma pia: itto Kabwe: Sitagombea Urais 2025, nitarejea kuimarisha Bunge

Akizungumza wakati akifungua kampeni za ACT za uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kijiji cha Songambele kilichopo kata ya Uyowa, jimbo la Ulyankulu mkoani Tabora, Novemba 20, 2024, Zitto Kabwe amesema ni muda mwafaka wa kuhakikisha utaratibu wa ukamataji watu unafuatwa, na kwamba hilo litawezekana tu ikiwa tu kutakuwa na utawala mzuri wa sharia ngazi ya kijiji utakaowekwa na chama hicho endapo kitapewa ridhaa

Sambamba na hilo. kiongozi huyo amesema chama chake kikipata ridhaa kitakomesha rushwa katika ofisi za vijiji kwa kuhakikisha kinatoa huduma bure kwa wananchi.

View attachment 3157860
Sasa watashindia wapi ikiwa hata nusu ya wagombea hawana 😂😂😂👇👇

View: https://x.com/Liberatus80/status/1859439878829715733?t=n9Om6WuShFcYHSMY-0B6_w&s=19

Wapinzani wanachekesha sana 😁😁
 
Wakuu,

Mnakumbuka zile kamata kamata za wapinzani na wafanyabiashara? It seems kama ACT Wazalendo wamekuja na muarubaini wa tatizo hilo

Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema endapo chama hicho kitapewa mamlaka na wananchi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, kitahakikisha kinadhibiti ukamataji holela unaotajwa kufanywa na Jeshi la Polisi bila ya kutoa taarifa kwenye serikali ya kijiji au kitongoji.

Soma pia: itto Kabwe: Sitagombea Urais 2025, nitarejea kuimarisha Bunge

Akizungumza wakati akifungua kampeni za ACT za uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kijiji cha Songambele kilichopo kata ya Uyowa, jimbo la Ulyankulu mkoani Tabora, Novemba 20, 2024, Zitto Kabwe amesema ni muda mwafaka wa kuhakikisha utaratibu wa ukamataji watu unafuatwa, na kwamba hilo litawezekana tu ikiwa tu kutakuwa na utawala mzuri wa sharia ngazi ya kijiji utakaowekwa na chama hicho endapo kitapewa ridhaa

Sambamba na hilo. kiongozi huyo amesema chama chake kikipata ridhaa kitakomesha rushwa katika ofisi za vijiji kwa kuhakikisha kinatoa huduma bure kwa wananchi.

View attachment 3157860
Huyu kibaraka sijui alipoteleaga wapi,kibaraka wa ccm.
 
Mnakumbuka zile kamata kamata za wapinzani na wafanyabiashara? It seems kama ACT Wazalendo wamekuja na muarubaini wa tatizo hilo
Ccm wana mpango wa kuwapa ushindi ACT-Wazalendo katika baadhi ya maeneo maana ni washirika wao watiifu
 
Back
Top Bottom