LGE2024 Zitto Kabwe: Tunataka kuhakikisha hatulalamiki tu bali tunachukua hatua tunakwenda mahakamani kufungua kesi 67

LGE2024 Zitto Kabwe: Tunataka kuhakikisha hatulalamiki tu bali tunachukua hatua tunakwenda mahakamani kufungua kesi 67

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kwenye mkutano na wananchi Kigoma Novemba 29, 2024 Zitto amesema, haya ndio maelekezo ya kamati ya jimbo kuwa;

"Mitaa yote 67 ambayo CCM wameipora tunakwenda mahakamani. Tunafungu akesi 67, tunamshtaki msimamizi uchaguzi wa manispaa, msimamizi msaidizi wa uchaguzi na aliyewatangaza kushinda. Tunataka kuhakikisha hatulalamiki tu bali tunachukua hatua za kuwarudishia haki zenu."

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
 
Wakuu,

Kwenye mkutano na wananchi Kigoma Novemba 29, 2024 Zitto amesema, haya ndio maelekezo ya kamati ya jimbo kuwa;

"Mitaa yote 67 ambayo CCM wameipora tunakwenda mahakamani. Tunafungu akesi 67, tunamshtaki msimamizi uchaguzi wa manispaa, msimamizi msaidizi wa uchaguzi na aliyewatangaza kushinda. Tunataka kuhakikisha hatulalamiki tu bali tunachukua hatua za kuwarudishia haki zenu."

View attachment 3165323
Safi sana hatutaki jamii ya bora liende yaani kanyaga twende, (jamii ambayo haiwezi kuchanganua fikra chanya na hasi)
 
Wakuu,

Kwenye mkutano na wananchi Kigoma Novemba 29, 2024 Zitto amesema, haya ndio maelekezo ya kamati ya jimbo kuwa;

"Mitaa yote 67 ambayo CCM wameipora tunakwenda mahakamani. Tunafungu akesi 67, tunamshtaki msimamizi uchaguzi wa manispaa, msimamizi msaidizi wa uchaguzi na aliyewatangaza kushinda. Tunataka kuhakikisha hatulalamiki tu bali tunachukua hatua za kuwarudishia haki zenu."

View attachment 3165323
Kazi imeanza sasa, hakuna kuburuzwaburuzwa!
 
Wakuu,

Kwenye mkutano na wananchi Kigoma Novemba 29, 2024 Zitto amesema, haya ndio maelekezo ya kamati ya jimbo kuwa;

"Mitaa yote 67 ambayo CCM wameipora tunakwenda mahakamani. Tunafungu akesi 67, tunamshtaki msimamizi uchaguzi wa manispaa, msimamizi msaidizi wa uchaguzi na aliyewatangaza kushinda. Tunataka kuhakikisha hatulalamiki tu bali tunachukua hatua za kuwarudishia haki zenu."

View attachment 3165323
Sawa ilimradi ushahidi upo ni jambo zuri Mahakama itaamua
 
 
Wakuu,

Kwenye mkutano na wananchi Kigoma Novemba 29, 2024 Zitto amesema, haya ndio maelekezo ya kamati ya jimbo kuwa;

"Mitaa yote 67 ambayo CCM wameipora tunakwenda mahakamani. Tunafungu akesi 67, tunamshtaki msimamizi uchaguzi wa manispaa, msimamizi msaidizi wa uchaguzi na aliyewatangaza kushinda. Tunataka kuhakikisha hatulalamiki tu bali tunachukua hatua za kuwarudishia haki zenu."

View attachment 3165323
Bahati mbaya mahakama nazo zimejaa Makada wa CCM
 
Wakuu,

Kwenye mkutano na wananchi Kigoma Novemba 29, 2024 Zitto amesema, haya ndio maelekezo ya kamati ya jimbo kuwa;

"Mitaa yote 67 ambayo CCM wameipora tunakwenda mahakamani. Tunafungu akesi 67, tunamshtaki msimamizi uchaguzi wa manispaa, msimamizi msaidizi wa uchaguzi na aliyewatangaza kushinda. Tunataka kuhakikisha hatulalamiki tu bali tunachukua hatua za kuwarudishia haki zenu."

View attachment 3165323

Wakuu,

Kwenye mkutano na wananchi Kigoma Novemba 29, 2024 Zitto amesema, haya ndio maelekezo ya kamati ya jimbo kuwa;

"Mitaa yote 67 ambayo CCM wameipora tunakwenda mahakamani. Tunafungu akesi 67, tunamshtaki msimamizi uchaguzi wa manispaa, msimamizi msaidizi wa uchaguzi na aliyewatangaza kushinda. Tunataka kuhakikisha hatulalamiki tu bali tunachukua hatua za kuwarudishia haki zenu."

View attachment 3165323
Kesi zifunguliwe kote ilikofanyika wizi wa kura na uchafuzi wa aina yoyote. Hata zikiwa kesi 4,000 Duniani ishuhudie hata wakiwapigia simu sawa na itajulikana pia.
 
Wakuu,

Kwenye mkutano na wananchi Kigoma Novemba 29, 2024 Zitto amesema, haya ndio maelekezo ya kamati ya jimbo kuwa;

"Mitaa yote 67 ambayo CCM wameipora tunakwenda mahakamani. Tunafungu akesi 67, tunamshtaki msimamizi uchaguzi wa manispaa, msimamizi msaidizi wa uchaguzi na aliyewatangaza kushinda. Tunataka kuhakikisha hatulalamiki tu bali tunachukua hatua za kuwarudishia haki zenu."

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
mahakama zipi? Za Juma? Kuna hakimu, Jaji wa kuto hukumu ya haki?
 
Zitto mjanja sana...... Anataka aendekee kutrendi kigoma kuputia mahakamani kumbe anajinadi yeye kwa ajiri ya ubunge 2025 na atasimamisha mgombea urais ili wapate ruzuku.

Siasa ni calculation kali zaidi ya physics.

Hata hivyo uchaguzi mkuu watapelekewa moto na CCM kama kawa.
 
Watu wa tume na polisi waliofanya uovu wote huo ni waajiriwa wa serekali ya CCM,mahakimu na mjaji nao ni waajiriwa wa serekali ya CCM ndio wale akina Tulia na akina Decha ambao leo ni jaji na mkuu wa tume kesho wanagombea ubunge na urais kwa tiketi ya CCM mpaka unajiuliza hawa watu walikuwa wanaccm lini wakati maadili ya kazi yao yanakataa.

Yetu macho,kesi ya ngedere anapelekewa nyani,ni sawa na kumnyang'anya mahindi ngedere na kumpelekea nyani ayalinde.
 
Wakuu,

Kwenye mkutano na wananchi Kigoma Novemba 29, 2024 Zitto amesema, haya ndio maelekezo ya kamati ya jimbo kuwa;

"Mitaa yote 67 ambayo CCM wameipora tunakwenda mahakamani. Tunafungu akesi 67, tunamshtaki msimamizi uchaguzi wa manispaa, msimamizi msaidizi wa uchaguzi na aliyewatangaza kushinda. Tunataka kuhakikisha hatulalamiki tu bali tunachukua hatua za kuwarudishia haki zenu."

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Agh!🚮
Will it matter!??
 
Mahakama gani? Hizi hizi zinazotumiwa na Samia kama toilet paper?
 
Back
Top Bottom