mkuu kana -ka -nsungu ni hivi bado huyo zitto hana haki ya kulalamika au kupiga kelele wakati ye yumo ndani habari kama hizi alitakiwa aongee mrema,,lipumba,,kama alikuwa anaona sheria zinapindishwa na anauhakika sheria ilishawahi kufwata mkondo wake juu yake why not her??then kwa nini asimwambie spika???kama ulimsikia namnukuu
mh spika kosa alilofanya ni kubwa kwa kuufuata sheria hata uwaziri angetakiwa avuliwe
"""""""""""""LAKINI NAOMBA TUSIFIKE UKO"""Why???mbona kwake walimfikia tena si uko
mpaka barabarani wakaendelea kudili nae !!!!ashukuru mungu wazee wa kigoma!!!