Zitto Kabwe yuko wapi mjadala wa kitaifa wa Mfumko wa Bei na majibu ya Mwigulu?

Zitto Kabwe yuko wapi mjadala wa kitaifa wa Mfumko wa Bei na majibu ya Mwigulu?

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Zitto Kabwe ni moja ya wanasiasa wachambuzi wazuri wa Uchumi, kwenye hoja inayotikisa taifa kwa sasa ni Mfumko wa Bei za bidhaa na ugumu wa maisha hadi watu kushindia kukoroga uji kwa mujibu Dk Bashiru kwa kushindwa kununua unga wa ugali.

Jambo la kusikitisha mjadala huu mpana unaogusa masilahi makubwa ya watanzania amejiweka nao kando nini sababu za yeye kujiweka kando?
 
Jana alisema wanaolaumu wakati huu badala ya kushangilia ni mazwazwa, huyu kiumbe anastahili kuchongewa kabati na kuwekwa makumbusho ya taifa kwa unafiki.

Yeye mpaka leo bado anahangaika kupigana na yale yaliyofanywa na Magufuli, kuliko kuwa na wapinzani wa sampuli hii, afadhali tubaki na chama kimoja pekee.
 
Zitto hawezi tena kuonekana hadharani akipinga Serikali.

Yeye alipewa kazi moja tu ambayo ni kujaribu kumsakama JPM kila kona, lakini ameshindwa.

Kwa sasa amekabidhiwa Buyu la Asali. Kwa hiyo hawezi kuongea huku akilamba asali, huwa inapalia.
 
Zitto Kabwe ni moja ya wanasiasa wachambuzi wazuri wa Uchumi, kwenye hoja inayotikisa taifa kwa sasa ni Mfumko wa Bei za bidhaa na ugumu wa maisha hadi watu kushindia kukoroga uji kwa mujibu Dk Bashiru kwa kushindwa kununua unga wa ugali.

Jambo la kusikitisha mjadala huu mpana unaogusa masilahi makubwa ya watanzania amejiweka nao kando nini sababu za yeye kujiweka kando?
Anakula $20,000 kila mwezi ana shida gani na siasa za kutoana majasho sahizi. Analamba asali toka kwenye mzinga kabisa 🤣🤣🤣
 
Zitto hawezi tena kuonekana hadharani akipinga Serikali.

Yeye alipewa kazi moja tu ambayo ni kujaribu kumsakama JPM kila kona, lakini ameshindwa.

Kwa sasa amekabidhiwa Buyu la Asali. Kwa hiyo hawezi kuongea huku akilamba asali, huwa inapalia.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Huwezi kuongea huku unakula. Ni bad manners!!!
 
Jana alisema wanaolaumu wakati huu badala ya kushangilia ni mazwazwa, huyu kiumbe anastahili kuchongewa kabati na kuwekwa makumbusho ya taifa kwa unafiki.

Yeye mpaka leo bado anahangaika kupigana na yale yaliyofanywa na Magufuli, kuliko kuwa na wapinzani wa sampuli hii, afadhali tubaki na chama kimoja pekee.
Nikajua labda Mwijaku ana tabia mbovu kumbe hawa watu wa Kigoma unafiki ni jadi yao 😀😀😀 maana kama shule wote wamesoma.
 
Akiongea ndio anaharibu zaidi wacha akae kimya tu.
 
anakula upepo wa bahari, hajali wala nini, yake yashamnyookea.
Pambaneni na hali zenu. Na mzee wa mascarf ya bandera keshawaambia wabunge wenu wajadili tunguri maana huo ndio upeo wao.
 
Jambo la kusikitisha mjadala huu mpana unaogusa masilahi makubwa ya watanzania amejiweka nao kando nini sababu za yeye kujiweka kando?
Mumuache Zitto apumzike! Si mlimnyima ubunge? Sasa mnamuita vipi aje kuwatetea?
 
Zitto Kabwe ni moja ya wanasiasa wachambuzi wazuri wa Uchumi, kwenye hoja inayotikisa taifa kwa sasa ni Mfumko wa Bei za bidhaa na ugumu wa maisha hadi watu kushindia kukoroga uji kwa mujibu Dk Bashiru kwa kushindwa kununua unga wa ugali.

Jambo la kusikitisha mjadala huu mpana unaogusa masilahi makubwa ya watanzania amejiweka nao kando nini sababu za yeye kujiweka kando?
Zito ni Mchumi na Mchumi yeyeote anajua hakuna kitu inaitwa mfumuko wa bei Tanzania ni ujinga tuu wa maamuma na mbumbumbu wa uchumi na ndio maana naunga mkono majibu ya Mwigulu.
 
Zitto hawezi tena kuonekana hadharani akipinga Serikali.

Yeye alipewa kazi moja tu ambayo ni kujaribu kumsakama JPM kila kona, lakini ameshindwa.

Kwa sasa amekabidhiwa Buyu la Asali. Kwa hiyo hawezi kuongea huku akilamba asali, huwa inapalia.

[emoji23][emoji23][emoji23] buyu la asali
 
Jana alisema wanaolaumu wakati huu badala ya kushangilia ni mazwazwa, huyu kiumbe anastahili kuchongewa kabati na kuwekwa makumbusho ya taifa kwa unafiki.

Yeye mpaka leo bado anahangaika kupigana na yale yaliyofanywa na Magufuli, kuliko kuwa na wapinzani wa sampuli hii, afadhali tubaki na chama kimoja pekee.
Alisema hayo ? Duh kweli kuna watu na viatu....
 
Back
Top Bottom