Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Tafadhali san mkuu tusivunjiane heshima, wakati wa kula hua sipend maneno na mtu!! Wee endelea tu!!🚶🚶🚶🚶Zitto Kabwe ni moja ya wanasiasa wachambuzi wazuri wa Uchumi, kwenye hoja inayotikisa taifa kwa sasa ni Mfumko wa Bei za bidhaa na ugumu wa maisha hadi watu kushindia kukoroga uji kwa mujibu Dk Bashiru kwa kushindwa kununua unga wa ugali.
Jambo la kusikitisha mjadala huu mpana unaogusa masilahi makubwa ya watanzania amejiweka nao kando nini sababu za yeye kujiweka kando?
Zitto Kabwe ni moja ya wanasiasa wachambuzi wazuri wa Uchumi, kwenye hoja inayotikisa taifa kwa sasa ni Mfumko wa Bei za bidhaa na ugumu wa maisha hadi watu kushindia kukoroga uji kwa mujibu Dk Bashiru kwa kushindwa kununua unga wa ugali.
Jambo la kusikitisha mjadala huu mpana unaogusa masilahi makubwa ya watanzania amejiweka nao kando nini sababu za yeye kujiweka kando?
Zitto ni Chama tawala mshirika, anakula ana shiba. Na alishatoa kauli kuwa yeye awamu hii hawezi kuipinga serikaliZitto Kabwe ni moja ya wanasiasa wachambuzi wazuri wa Uchumi, kwenye hoja inayotikisa taifa kwa sasa ni Mfumko wa Bei za bidhaa na ugumu wa maisha hadi watu kushindia kukoroga uji kwa mujibu Dk Bashiru kwa kushindwa kununua unga wa ugali.
Jambo la kusikitisha mjadala huu mpana unaogusa masilahi makubwa ya watanzania amejiweka nao kando nini sababu za yeye kujiweka kando?
Hapo Ayatollah huwezi kumuona maana Mkuu wa nchi ni muumini mwenzake!Zitto Kabwe ni moja ya wanasiasa wachambuzi wazuri wa Uchumi, kwenye hoja inayotikisa taifa kwa sasa ni Mfumko wa Bei za bidhaa na ugumu wa maisha hadi watu kushindia kukoroga uji kwa mujibu Dk Bashiru kwa kushindwa kununua unga wa ugali.
Jambo la kusikitisha mjadala huu mpana unaogusa masilahi makubwa ya watanzania amejiweka nao kando nini sababu za yeye kujiweka kando?
Wamemuungia mrija direct kutoka kwenye dumu la asali![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anakula $20,000 kila mwezi ana shida gani na siasa za kutoana majasho sahizi. Analamba asali toka kwenye mzinga kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona mleta mada hajui mile zetu za kiafrika, kuongea huku unakula is unacceptable 😂😂🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Huwezi kuongea huku unakula. Ni bad manners!!!