Zitto: Mazingira yale yale yaliyotuletea Magufuli 2015 ndio hayo hayo yanayotengenezwa kutuletea Magufuli mwingine

Zitto: Mazingira yale yale yaliyotuletea Magufuli 2015 ndio hayo hayo yanayotengenezwa kutuletea Magufuli mwingine

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Kulikuwa na mjadala na bado unaendelea CH kuhusu kitabu tata cha Kabendera

Kwamba mazingira yale yale yaliyotuletea Magufuli 2015 ndio yale yale yatakayotuletea Magufuli mwingine hapo mbeleni.

Hii ni kauli ya Mwanachama na Kiongozi mstaafu wa ACT wazalendo akizungumzia kitabu cha Eric Kabendera ambapo kwa wasomaji Zitto ametajwa zaidi ya mara 58.

Zitto ameongeza kwamba Ukitaka kujua hali ya Umagufuli wananchi wanaitaka tazama utendaji na uungwaji mkono wa wakuu wa mikoa na wananchi.

Japo hajataja moja kwa moja, lakini Mkuu wa mkoa anaeshabikiwa kwa sasa zaidi na wananchi wengi ni Paul C Makonda.

Je Paul ni yeye?
May be yes may be no.

2030 or so Rais anaweza kuwa Paul Makonda... Kama mazingira yataendelea kama yalivyo kwa Mujibu wa Ndugu yetu Zitto Kabwe.

Kaongea mengi sana, ila angalao hili limenitafakarisha .

Mazingira hayo ni yapi?

Ahsante.
 
Mbowe zero form six
Mama zero form four
Bashite zero form four
 
Ni Makonda, imagine anaandaa sherehe za kulewesha pombe Arusha, hiyo ni bajeti ya Bunge gani? Kifungu kipi? Mbona mikoa mingine haina vifungu hivyo?

Ila presidential aspirants pamoja na Lissu together ni maboga tu, potentially dictators to the core.

Kwamba eti ndio karata dhidi ya populist mwenzie Lissu, kwamba CDM wakiweka Populist na wao wana Makonda
 
Mbowe zero form six
Mama zero form four
Bashite zero form four
Na wote kwa namna moja au nyingine, wanacheza na dira/muelekeo wa maisha yako hapa nchini!

Yaani, wanakuongoza/kukuamulia mambo ya msingi kitaifa wewe uliyepiga 1.7 na 1.3 kisha First Class na sasa ni Prof.
 
Back
Top Bottom