Pius J. Kiwarya Lema
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 1,097
- 567
kama ni jembe basi na lilime mihogo kwao mwandiga acheni kutupotezea muda na huyo -----
Zitto mwakilishi wa mahakama kwenye katiba mpya hahahahahhaaa
Bado kuna watanzania wanamsikiliza zzk?Katiba ni mwafaka wa kitaifa. Kitendo cha CCM kuweka msimamo wa Serikali mbili kwenye muundo wa Muungano kinaua kabisa maana ya kuwepo na mjadala. 'Caucus' za vyama kwenye kazi nyeti kama ya kuandika katiba ya nchi iwe marufuku. Kuna kundi lina lengo la kuzuia katiba Mpya kupatikana. Kwa vyovyote vile lazima tuwashinde wapinga mabadiliko hawa kwa kuunganisha nguvu za wananchi. Tusirudi nyuma
"Forward ever, Backward never" - Nkrumah
suorce FB profile yake(ofisi ndogo)
My take;kiongozi muadilifu na mwanamapinduzi ya kweli huitaji torch kumtambua
Angalizo langu binafsi pia kitapokuja kipengere cha kujadili muungano na muundo wake msisahau kujadili ubaguzi/muungano wa WAPEMBA NA WAUNGUJA muda ukifika mtaelewa what i mean
Bado kuna watanzania wanamsikiliza zzk na pumba zake?Katiba ni mwafaka wa kitaifa. Kitendo cha CCM kuweka msimamo wa Serikali mbili kwenye muundo wa Muungano kinaua kabisa maana ya kuwepo na mjadala. 'Caucus' za vyama kwenye kazi nyeti kama ya kuandika katiba ya nchi iwe marufuku. Kuna kundi lina lengo la kuzuia katiba Mpya kupatikana. Kwa vyovyote vile lazima tuwashinde wapinga mabadiliko hawa kwa kuunganisha nguvu za wananchi. Tusirudi nyuma
"Forward ever, Backward never" - Nkrumah
suorce FB profile yake(ofisi ndogo)
My take;kiongozi muadilifu na mwanamapinduzi ya kweli huitaji torch kumtambua
Angalizo langu binafsi pia kitapokuja kipengere cha kujadili muungano na muundo wake msisahau kujadili ubaguzi/muungano wa WAPEMBA NA WAUNGUJA muda ukifika mtaelewa what i mean
Bado kuna watanzania wanamsikiliza zzk?
unamatatizo wananchi wa kg kaskazn wanawakilishwa na nan? tnamuhitaj na tutampa support, na nyie wachaga endeleen kuwadanganya wananchi kwa kuahid msivoweza kutekeleza mara mnapinga matumiz mabaya ya serikal hasa posho kumbe mkifika bungen wakwanza kunyosha mikono. ZZK msimamiz wa akisemacho. BIG UP, mwambien lema naye aweke waz kutopokea posho bunge maalumKwani ZZK ameingia kwenye bunge la katiba kupitia kundi gani?
suorce FB profile yake(ofisi ndogo)
Kwani ZZK ameingia kwenye bunge la katiba kupitia kundi gani?
zitto hana jipya swala la katiba ccm ndo wameshavuruga ndo maana wamejaza wajumbe wa ccm lakini mm nasema ccm kifo chao kimeshakaribia
Hana lolote!Usiruhusu kushikiwa akili zako dogo..........!jadili hoja usilete mambo ya kina Yeriko na Ben na Siasa majitaka za kujadili watu
Kwani ZZK ameingia kwenye bunge la katiba kupitia kundi gani?