bado kuna raia wanamfuatilia Zitto?
Zzk ni shupavu natakuwa shupavu kwa tarifa yako ninakupa tu zzk ataendelea kuwa mbunge hadi bunge litakapo futwa na hata gombea tena kupitia cdm na siopekeyake wapo wabunge 15 wataongozana nae na tutashinda kupitia chama chochote kile na bado mtaangaika sana mtakavyo kufa kila mtu hatapnekana tena humu jf nyambafu
Hata viongozi wa dini wanaitaka serikali mbili na huo ndiyo msimamo wao, CHADEMA hawawezi kuwa msimamo kwa sababu ni SACCOSS
tupo wengi. ni wewe tu na kafamilia kenu kawahafidhina kanakowajibika kwa hayatulah mtei wa tengeru ndo hamfuatilii ishu za Zitto kwa sababu ya chuki zetu.bado kuna raia wanamfuatilia Zitto?
tupo wengi. ni wewe tu na kafamilia keni kawahafidhina kanakowajibika kwa hayatulah mtei wa tengeru ndo hamfuatilii ishu za Zitto kwa sababu ya chuki zetu.
Kwani ZZK ameingia kwenye bunge la katiba kupitia kundi gani?
La mahakamaKwani ZZK ameingia kwenye bunge la katiba kupitia kundi gani?
niondolee balaa hapa. Nani CCM? au wewe unadhani kila asiyetumia mbege ni ccm?inatia raha kuona zito kabwe anashabikiwa na maccm na wana uhakika wa kura ya serikali mbili toka kwa zito kabwe