Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama na yeye yumo si atajisoma...kwa mujibu wa document zinazosambaa mitandaoni zitto kabwe na kamati nzima ya PAC ilikuwa inapokea pesa kutoka kwa singasinga,je ana uhalali upi kusoma taarifa wakati naye ni mtuhumiwa?nashauri jumatatu spika aivunje kamati ya zitto
kwa mujibu wa document zinazosambaa mitandaoni zitto kabwe na kamati nzima ya PAC ilikuwa inapokea pesa kutoka kwa singasinga,je ana uhalali upi kusoma taarifa wakati naye ni mtuhumiwa?nashauri jumatatu spika aivunje kamati ya zitto
kwa mujibu wa document zinazosambaa mitandaoni zitto kabwe na kamati nzima ya PAC ilikuwa inapokea pesa kutoka kwa singasinga,je ana uhalali upi kusoma taarifa wakati naye ni mtuhumiwa?nashauri jumatatu spika aivunje kamati ya zitto
Unashauri kama nani?kwa mujibu wa document zinazosambaa mitandaoni zitto kabwe na kamati nzima ya PAC ilikuwa inapokea pesa kutoka kwa singasinga,je ana uhalali upi kusoma taarifa wakati naye ni mtuhumiwa?nashauri jumatatu spika aivunje kamati ya zitto