Zitto na ACT-Wazalendo na CHADEMA kwanini mko kimya kwa haya?

Zitto na ACT-Wazalendo na CHADEMA kwanini mko kimya kwa haya?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Kuna kauli zinatoka na zinahitaji kuungwa Mkono na kila mtu au kupingwa na kila mtu.

Binafsi niliposikia Magufuli anasema uchaguzi wa kura za maoni CCM uwe huru na wazi nikaona hii kauli ya kuungwa mkono na kila mtu. Na vyama vya upinzani pia viunge kwa vitendo na kwa maneno kauli hii.

La kushangaza ni kimya kabisa.

Ni matumaini yangu chaguzi za ndani za vyama vya upinzani zitakuwa free n fair, pia kama ilivyotokea CCM hata kama kasoro zilikuwepo.

Kauli ya Mzee Mwinyi kuwa Rais Magufuli apewe miaka mingine ya shukrani ilipaswa kulaaniwa na kupingwa na kila mtu. Cha ajabu pia ni ukimyaa kabisa wa vyama vya siasa, ajabu sana.

Why huu ukimyaa? Kuunga mkono kiimya. Kupinga pia kimyaa, why?
 
Kauli ya Mzee Mwinyi kuwa Rais Magufuli apewe miaka mingine ya shukran ilipaswa kulaaniwa na kupingwa na kila mtu.
Cha ajabu pia ni ukimyaa kabisa WA vyama vya siasa, ajabu sana.
Hii ilikemewa sana hasa baraza la Wazee la Chadema, ndio ile clip walioedit wapuuzi wa Lumumba wakaipost hapa.
 
Mambo ya kijinga yanayo fanywa na mjinga hayapaswi kumshughulisha mwenye akili kubwa.
 
Subiri kampeni zikianza maana ukifungua mdomo tu unawekwa ndani kwa kosa la uhujumu uchumi.
Kampeni nabashiri zitakuwa ngumu sana,sidhani freedom of speech itaheshimiwa ingawa nilimsikia mheshimiwa Rais akiviagiza vyombo vya usalama kuwa wavumilivu na kutokutumia nguvu bila ulazima,mtu kama Tundu Lissu akianza "kutema nyongo" je atavumiliwa?
 
Back
Top Bottom