Zitto na Chadema: MBWA akikaribia Kufa hupoteza Uwezo wa Kunusa na NYOKA akikaribia Kufa hukimbilia barabarani

Zitto na Chadema: MBWA akikaribia Kufa hupoteza Uwezo wa Kunusa na NYOKA akikaribia Kufa hukimbilia barabarani

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Naibu katibu mkuu wa zamani wa Chadema Zitto Kabwe amesema MBWA akikaribia Kufa hupoteza uwezo wa Kunusa na NYOKA akikaribia Kufa hukimbilia barabarani

Kwanini Zitto Kabwe katumia mfano wa MBWA na NYOKA tuliache kuwa fumbo la Imani

Ahsanteni sana 😂😂
 
Back
Top Bottom