Zitto na chama chake wametufumbua macho,serikali ya CCM iliua na kuteka watu. Baadhi ya waliohusika wapo hai wafikishwe kortini

Tunamuandama Magufuli kwasababu sio muslim mwenzetu
Msituchonganishe, tuangalie hoja zinazoletwa, Lissu, Gwanda, Ben Saanane hawa sio Waislamu, unafikiri wazazi na ndugu zao watampenda Magufuli kwa vile magufu ni mkristo tuleteeni hoja sio brabra.... zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…