Hawa jamaa wa KIGOMA wana matatizo ukishawapa pesa kidogo tu wAnasahau...
Hawa jamaa wa KIGOMA wana matatizo ukishawapa pesa kidogo tu wAnasahau. INANIKUMNBUSHA YULE DR. WALID KABOURU hivi aliishia wapi? Wahenga walisema ukiwa mwongo usiwe msahaulivu. Jina alilopewa linamfaa kwani huyo DOWANS hatujamwona yeye anasema tununue mtambo kwa manufaa ya taifa basi yeye ndiye Dowans. Kama anabisha atuambie basi nani mmiliki wa DOWANS.
Hawa jamaa wa KIGOMA wana matatizo ukishawapa pesa kidogo tu wAnasahau. INANIKUMNBUSHA YULE DR. WALID KABOURU hivi aliishia wapi? Wahenga walisema ukiwa mwongo usiwe msahaulivu. Jina alilopewa linamfaa kwani huyo DOWANS hatujamwona yeye anasema tununue mtambo kwa manufaa ya taifa basi yeye ndiye Dowans. Kama anabisha atuambie basi nani mmiliki wa DOWANS.
Hapa kunamchezo mchafu ambapo mafisadi wanataka kuua ndege wawili kwa jiwe moja.
1.Kumaliza Zitto kisiasa
2.Kutumia umaarufu wake kuwashawishi watu kununua mitambo hiyo
Advocate Jasha, mkuu salamu zako! Zitto hajamalizwa kisasa bali kajimaliza kisiasa. Hakuna mtu aliyemtuma ashikilie bango ishu hili la Dowans. Kama alikuwa ana lolote la kusema angesema tu lakini si kulitetea hivyo na kujibu electronically kama vile yeye anajua vyote.
Mi namheshimu sana Zitto lakini katika ishu hii amekosea stepu na ni vyema akikaa kimya akafanya tafakari na ndiyo aandike au aonge hadharani. Maana sasa hivi amejiaibisha!
Hivi mnajua kuwa tunawadai Dowans zaidi ya Bilioni nane? Tutazipataje?
Tukiinunua mitambo hiyo kwa bei chee, tukawakata na hela zetu, si itakuwa bora kuliko kukaa gizani?
Zitto anayafahamu hayo!
Hivi hiyo mitambo imechakaa ikiwa ubungo au ilichakaa kabla haijaletwa ubungo?
Kukodisha chakavu inaruhusiwa isipokuwa kununua chakavu ndo hairuhusiwi?
Wataalam wa manunuzi mnijuvye!
Sioni sababu ya kumshupalia Zito.Alilewa umaarufu kiasi cha kutufanya wana JF mabwege na akifikiri kila atakachosema tutamsuport akifikiri JF ni upepo unaolekekea chama fulani,kwa hiyo maamuzi atakayosema na misimamo basi nasi tutaelekea huko.JF haina CHAMA,HAIMBEBI MTU,ila Inasupport,inalinda masilahi ya kila mmoja aliye MTETEZI,MWAJIBIKAJI kwa ajili ya taifa la Tanzania.
Give Zitto a break!Haina haja ya kumwita DOWANS,kwani inawezekana kwa jinsi alivyofikiri ndivyo alivyoona sahihi.Ni vyema aje huku JF ajieleze na kutoa msimamo wake ,na tumkaribishe upya kuendeleza mapambano ya kulijenga taifa.Kutofanya hivyo Automatically atakuwa amejibatiza bila ubishi kuwa yeye ni MR DOWANS
Baba lao, mkuu, Zitto alishakuja hapa na kujitetea siku kadhaa zilizopita nitaomba utafute katika lile thread ndefu la Dowans. Utaona alivyong'ang'ania kutetea Dowans. Ndo maana nasema ni sawa watu kumwita Mr Dowans maana amelishikilia bango na anaonekana kuwa hataki kusikiliza maoni ya watu na kujiona ye ndo mjuaji sana. Tumwache tu ....