Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Hapo kuna kiini macho, hata nisingejua kusoma picha ningeitambua. Zile pilika zake zote za mabilion ya uswis na alisema data anazo, leo hii ghafla eti kasain had afidavt kua hana jina hata moja! Hembu hilo fumbo wawafumbie wengne, welevu tushaling'amua. Sasa kumbe alikua anataka umaarufu gani mpya kupitia mabilion ya uswis, wakati hata jina moja hana. Lol!
 
"zitto is a great man" haiwezekani mtu mdogo atawale habari za mitandao ya kijamii kila kukicha kama mtu huyo siyo tishio.
 
Watanzania ni nani alikuwa anajua kuwa Kunafedha zimefichwa nje ya nchi kabla ya Zitto kuibua swala hili?
Mnataka kusema leo hii Watanzania mnataka kusema hakuna fedha zilizofichwa uswisi?HAPANA HAPANA HAPANA kabla haujamhukumu zitto soma hapa>>"According to data from the Swiss central bank, the amount of money that the Tanzanians held in savings and



deposit accounts in Swiss banks grew to $5.41 billion in 2012, up from $3.6 billion the prior year, although the annual amounts have varied considerably over the past decade" Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Reuters.Kwa maana hiyo ni kweli kunafedha zimefichwa nje ya nchi,Fedha za watanzania,fedha za walipa kodi,fedha za walala hoi,fedha za miradi ya maendeleo ndani ya nchi yetu zimefichwa na mafisadi nje ya nchi.
Nimeshitushwa sana na namna Jaji werema alivyoongoza serikali kumgeukia zitto kibao eti hana majina ya watu walioficha fedha nje ya nchi,Kwa maana hiyo anataka kusema hakuna fedha zilizofichwa nje ya nchi?Mbona hajakili kuwa ni kweli kunafedha zimefichwa nje ya nchi lakini walioficha fedha hizo hatujapata majina yao.
Kimsingi itakuwa ni aibu sana serikali kukosa Plan B ya kupata majina ya watu walioficha fedha nje ya nchi,Kama zitto hana majina,Je serikali majina yako wapi?KAMA SERIKALI HAINA maana yake siku zote hizi serikali na Tume iliyoundwa ilikuwa inakula sitting allowance bila kuwa na plan B yao ya kupata majina ya walioficha fedha nje ya nchi?
Zitto ameonesha njia,ZItto ni Musa aliyeamua kuwatoa wana wa israel Misri(kutoa watanzania kwenye lindi la ufisadi na kuanika mafisadi)sasa kosa lake liko wapi?
Naiona fedheha kwa viongozi wa serikali yetu kuamua kupambana na zitto na kaucha kupambana na watu walioficha fedha nje ya nchi.Kwangu mimi zitto ni Mfalme na mshindi katika hili,Serikali play ur role kwenye hili tuachane na kumchafua yule aliyefichua ukweli huu kuwa fedha zimefichwa nje.
Kwa mwenendo huu nachelea kusema Walioficha fedha uswis wameshawateka ama kuwazidi kete waliochaguliwa kufuatilia fedha hizo,Hivyo basi fedha haramu hizo za uswisi zimetumia kuwakaba,kuwateka na kuwashibisha wanatume na sasa wameamua kugeuza kibao kusema ZItto hana majina hivyo wanatengeneza mazingira ya kutupoteza watanzania katika hili.
Haya Zitto hana majina,Serikali majina yapo wapi>?

 
Alafu unaonekana una Akili fupi sana kama wewe huwa usomi basi ni wewe, Mimi nimejua hata Kabla hata zitto ajamwaka porojo zake kwenu. Nilipost kwenye Fb wall yangu kabla hata zitto ajapost kwenye tweeter by the way wa kwanza kuleta haya bungeni ni Zitto au wakina Kangi lugora?

Wacha kupotosha.
 
upuuzi mwingine....nitaje nisitaje?
Kama majina anayo kwa nini asiweke hadharani?Dr Slaa alitoa list of shame pale mwembe yanga bila hizi mbwembwe za tisha toto!
 
Hivi kuna mdudu gani kaingia JF? Inashangaza, inasikitisha na inaudhi...watu wanaamka tu wanaposti yale waliyokuwa wakiyaota usingizini. Something is amiss somewhere!
 
“Foolishness is more than being stupid, that deadly combination of arrogance and ignorance.” (Paul David Tripp)
 
Huyu dogo njaa zinampeleka pabaya sana. Zito ni mnafiki sana na ni msaliti bora ya YUDA. Ccm wanamtumia sana.
 
Zitto akitaka asalimike, ataje,ayaweke majina hadharani. Na kama chadema itaendelea kumfuga basi tutathibitisha kuwa ni chama cha kilaghai.

We ulikuwa ukimtetea na ukawa unadai kuwa Mbowe yumo! sasa leo unataka afukuzwe kwa lipi, ngoja nioteshwe watakimbilia Kenya
 

Chezea Zito wewe... Kumbuka zito alianzisha huo Mchongo ili apate Ganji cha juu toka kwa Waficha pesa sasa ameshavuna chake mapema huku na yeye wamemfundisha pa kuzificha hizo Ganji walizompatia . Sasa ananijidai Hana Majina ! Haingii akilini jaribuni kutafakari vizuri
 
Yani Huyu zzk ni msanii mzuri wa comed kwa nn asianzishe kikundi chake akashindana na kina masanja yani sikuamini masikio yangu kumbe aliisha apa kwamba hawajui walioficha pesa nje inamaana alikuwa anatugombanisha na serikali yetu huyu mtu hatufai hata kidogo watu kama hawa ni wakuogopa Kama ukoma
 
Zitto akitaka asalimike, ataje,ayaweke majina hadharani. Na kama chadema itaendelea kumfuga basi tutathibitisha kuwa ni chama cha kilaghai.

Mhhhh kwanini usiseme Bunge likiendelea kumfuga? we si ndiyo ulikuwa unasema CDM wanamuonea leo imekuaje?
 

ACT watamuweka nani agombee udiwani kule MWANDIGA, Ubunge kule Kigoma kaskazini na Urais? Yona? Mwigamba? Mkumbo? Mchange? Njano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…