Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Nimeamini Zitto anauwezo mkubwa wa kufikiria. Chadema hawatamkubali mwaka 2015, na akienda chama kingine ataonekana msaliti miongoni mwetu tulio wengi. Ila mwaka 2020/25 tuhuma hizi zitakuwa zimekufa au zimedhoofika. Zitto atakuwa amejitafakari vyakuyosha na atakuwa na nguvu mpya + tumaini jipya

Hakuna mtu aliyemkamilifu. Zitto akijirudi na kupunguza kiburi kidogo tu, bado ni mtu anayeweza kuiongoza nchi hii vema.
Endapo atatekeleza kauli hii atakuwa amefanya jambo la hekima sana. Naamini mwaka 2020/25 zitto atakuwa nyota tena si ya chadema pekee, Bali nchi kwa ujumla.

pumzika siasa ukiwa ndani ya chadema. muda huo utumie kutatua tofauti zako na chama. umeona mbali.
 
Acheni upimbi ninyi wanafunzi mbona mnajadili siasa kila wakati mnapiga kura ndicho mlichotumwa? Tunalipa kodi ndizo wengi wenu mnasomeshewa kwa nn msitulie darasani na kufanya tafiti za matatizo tuliyonayo, pumbafuuuuu:what:
 
Uamuzi huu wa Zitto siuoni kama ni wa ajabu. Amesoma alama za nyakati tu!
Taarifa za kuaminika ni kuwa Zitto alitarajiwa kuhama jimbo lake na kuelekea Kigoma mjini (kwa Peter Serukamba) ambaye anahamia jimbo la sasa la Zitto.
Kutokana na maridhiano na Mgombea urais wa chama tawala yaliyofanyika Zimbabwe (???), Zitto alitarajiwa atapata nafasi nzuri baada ya kupatikana katiba isiyolazimisha Rais nani wa kumchagua. Kutokana na kuzorota kwa upatikanaji wa katiba, Zitto anaona ni vigumu kuwania nafasi ya ubunge kutokana na kuanguka kisiasa.

Assessment
Inaonekana kushuka kwa Zitto kunaweza kumuathiri sana baadae. Hii inatokana na ukweli kuwa amefanya kosa la kisiasa kutokana na ushabiki wa nje ya chama chake, CDM. Ki siasa huu ni usaliti ambao unamfanya asiaminike hata kwa wanasiasa wengine. Huu ni ukweli usiopingika kutokana na siasa za kuwania nafasi kwa tamaa badala ya kuangalia matakwa ya walio wengi.

Anjo
 
You people have given Zitto Kabwe too much publicity. He is inebriated with his own verbosity.
 
Tuamke sasa tuende kujenga uchumi wa nchi yetu.

Nikiwa napitia magazet asb hii, jana tuliona habar ya wapambe walimfitini mh.zitto kwa mh. mbowe ndani ya mwananchi, leo anasema hivi juu nimejaribu kupitia ndani habari hii ni muendelezo either wakujuta kwa mh huyu au kutoelewa maneno yake juu ya kuachana na ubunge nakwenda kufundisha.
================================================

 

wadandiaji wa siasa mtakoma mwaka huu, mbowe kujiunga na chama kingine cha upinzani endapo atakosa uenyekiti.
 
Chadema imepoteza mvuto kabisa kwa watanzania.
 
Curiosity killed the cat!!
 
Zitto ndio aliipa umaarufu chadema, na ndio, ameiondolea umaarufu.
 
anachofannya zitto ni kujaribu ku spin uchaguzi wa chadema ili yeye awe ajenda na watu wasiwaze uchaguzi unaoendelea. huyu mtu haeleweki. kila baada ya saa moja anabadililka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…