Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
The expected. Ni watu kuingia kutafuta haki zetuMhe. Zitto Kabwe na chama chako ulikaa kimya kuhusu hoja ya bandari kwa madai kwamba unafurahia kuona hoja imepelekwa bungeni. Yamkini ungejielekeza kuchambua mapungufu unayodhani yapo ungewapa mwanga wabunge kuchangia ila uliamua kukaa kimya ukilisubiri bunge.
Azimio limeshapita bila mabadiliko wala maboresho yoyote kuwa wazi. Naomba kujua hiki ndicho ulikuwa unakisema au wabunge wamekuangusha? Kama wamekuangusha unadhani bado msimamo wa chama chako una faida kwa Taifa letu?
Huyo ni mwislam... muislam mwenzie anaonewa hawezi shupaza shingoMhe. Zitto Kabwe na chama chako ulikaa kimya kuhusu hoja ya bandari kwa madai kwamba unafurahia kuona hoja imepelekwa bungeni. Yamkini ungejielekeza kuchambua mapungufu unayodhani yapo ungewapa mwanga wabunge kuchangia ila uliamua kukaa kimya ukilisubiri bunge.
Azimio limeshapita bila mabadiliko wala maboresho yoyote kuwa wazi. Naomba kujua hiki ndicho ulikuwa unakisema au wabunge wamekuangusha? Kama wamekuangusha unadhani bado msimamo wa chama chako una faida kwa Taifa letu?
Eneo la kula diko hutakiw kuliletea vikwazo mkuu 🤣🤣🤣Mhe. Zitto Kabwe na chama chako ulikaa kimya kuhusu hoja ya bandari kwa madai kwamba unafurahia kuona hoja imepelekwa bungeni. Yamkini ungejielekeza kuchambua mapungufu unayodhani yapo ungewapa mwanga wabunge kuchangia ila uliamua kukaa kimya ukilisubiri bunge.
Azimio limeshapita bila mabadiliko wala maboresho yoyote kuwa wazi. Naomba kujua hiki ndicho ulikuwa unakisema au wabunge wamekuangusha? Kama wamekuangusha unadhani bado msimamo wa chama chako una faida kwa Taifa letu?
WakuongozaThe expected. Ni watu kuingia kutafuta haki zetu
Na lingine ni kuwa chama chake kinashikiliwa na Wazanzibari na watuhumiwa wakubwa kwenye sakata hili ni Wazanzibari,akishupaza shingo wapemba wakichomoa betri amekwisha.Katika watu wa hovyo wakubwa tanzania ni Zitto. mdini sana As long as samia na Mbarawa ni wa dini yake hata kusema lolote hataki.
Hivyo hivyo Fatma karume. Hovyo kabisa kabisa. Abdul Nondo
Waeleze JF kwanini Zito yuko kimya kiasi hicho? Msaliti mkubwa
A very good observation! Basic one!Na lingine ni kuwa chama chake kinashikiliwa na Wazanzibari na watuhumiwa wakubwa kwenye sakata hili ni Wazanzibari,akishupaza shingo wapemba wakichomoa betri amekwisha.
Zitto haja wahi kuwa mzalendo hata siku mojaZitto Kabwe na chama chako ulikaa kimya kuhusu hoja ya bandari kwa madai kwamba unafurahia kuona hoja imepelekwa bungeni. Yamkini ungejielekeza kuchambua mapungufu unayodhani yapo ungewapa mwanga wabunge kuchangia ila uliamua kukaa kimya ukilisubiri bunge.
Azimio limeshapita bila mabadiliko wala maboresho yoyote kuwa wazi. Naomba kujua hiki ndicho ulikuwa unakisema au wabunge wamekuangusha? Kama wamekuangusha unadhani bado msimamo wa chama chako una faida kwa Taifa letu?
Na hii ndio shida kubwa,shida wala sio mkataba,sasa kwa kifupi bandar tushamaliza mtake ni hivyo msitake ni hivyoHuyo ni mwislam... muislam mwenzie anaonewa hawezi shupaza shingo
Nimeona fatma karume anamlaumu mbowe kutaja wazanzibar. Yaani wazanzibar hawaruhusiwi kusemwa chochoteKatika watu wa hovyo wakubwa tanzania ni Zitto. mdini sana As long as samia na Mbarawa ni wa dini yake hata kusema lolote hataki.
Hivyo hivyo Fatma karume. Hovyo kabisa kabisa. Abdul Nondo
Waeleze JF kwanini Zito yuko kimya kiasi hicho? Msaliti mkubwa
Lissu amekuwa kimya? Lissu amesema raisi katuuzaBora Zitto na Lissu walivyoamua kuwa kimya kuliko Mbowe alivyoropoka na kuonekana mjinga