Zitto ukifumua bajeti hii januari kumbuka na hili la wafanyakazi

Zitto ukifumua bajeti hii januari kumbuka na hili la wafanyakazi

Tila-lila2

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
652
Reaction score
1,058
Wakati wa Kampeni zako weka wazi kuwa Chama chenu au kama mtaunda Coalition ya Upinzani madhubuti na mkashinda basi kwenye Bajeti mtakayoifumua mtakumbka kupandisha mishahara ya wafanyakazi iMwezi huo huo Januari ili kuwapunguzi machungu waliyonayo.

Msimung'unye maneno wekeni wazi wazi kuwa hilo mtalifanya kabla hata ya Mwaka wa Fedha 2021/2022. Mimi ni wa CCM lakini hakika mkilisema hilo kura nawapa ninyi pamoja na UCCM wangu.

Tunataka maneno yahamie kwenye vitendo sio maneno neno tu kama wanavyotufanyia CCM!
 
Hii bajeti ya mwaka huu ni ya matunda na asali
Hatuhitaji uwongo wa upinzani
 
Wakati wa Kampeni zako weka wazi kuwa Chama chenu au kama mtaunda Coalition ya Upinzani madhubuti na mkashinda basi kwenye Bajeti mtakayoifumua mtakumbka kupandisha mishahara ya wafanyakazi iMwezi huo huo Januari ili kuwapunguzi machungu waliyonayo.

Msimung'unye maneno wekeni wazi wazi kuwa hilo mtalifanya kabla hata ya Mwaka wa Fedha 2021/2022. Mimi ni wa CCM lakini hakika mkilisema hilo kura nawapa ninyi pamoja na UCCM wangu.

Tunataka maneno yahamie kwenye vitendo sio maneno neno tu kama wanavyotufanyia CCM!
Ataifumua budget ya sasa kwa sheria ipi ilhali mwaka wa fedha utakua ushaanza ?Km huo siyo uongo ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati wa Kampeni zako weka wazi kuwa Chama chenu au kama mtaunda Coalition ya Upinzani madhubuti na mkashinda basi kwenye Bajeti mtakayoifumua mtakumbka kupandisha mishahara ya wafanyakazi iMwezi huo huo Januari ili kuwapunguzi machungu waliyonayo.

Msimung'unye maneno wekeni wazi wazi kuwa hilo mtalifanya kabla hata ya Mwaka wa Fedha 2021/2022. Mimi ni wa CCM lakini hakika mkilisema hilo kura nawapa ninyi pamoja na UCCM wangu.

Tunataka maneno yahamie kwenye vitendo sio maneno neno tu kama wanavyotufanyia CCM!
Unamdanganya huyo mpuuzi mwenziyo na hizo ndoto wazitowe. Kupata mbunge Bwege na kumshangilia ni dalili mbaya. Bwege hana issue. Yaani hao wanatimiza takwa la katiba lakini hata wabunge huku bara hawatapata.
 
Ataifumua budget ya sasa kwa sheria ipi ilhali mwaka wa fedha utakua ushaanza ?Km huo siyo uongo ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo wala siyo jipya mbona?
Magufuli aliifumua bajeti ya Kikwete ya 2015/16. Alianza mara moja kutekeleza ahadi yake ya elimu bure, bila kusubiria bajeti mpya ya kwanza ya serikali yake, ya 2016/17.
Hata hivyo kuna taratibu za kufuata kufanya marekebisho ya bajeti. Ila Magufuli huwa hazitumii. Anapanga bajeti upya atakavyo. Ndio maana kuna wizara zinapata fedha chache au sifuri katika baadhi ya miradi, wakati zingine zinapata zaidivya iliyoidhinishwa. Mfano miradi mingi ya wizara ya ujenzi inapata fedha zaidi ya makadirio
 
Wakati wa Kampeni zako weka wazi kuwa Chama chenu au kama mtaunda Coalition ya Upinzani madhubuti na mkashinda basi kwenye Bajeti mtakayoifumua mtakumbka kupandisha mishahara ya wafanyakazi iMwezi huo huo Januari ili kuwapunguzi machungu waliyonayo.

Msimung'unye maneno wekeni wazi wazi kuwa hilo mtalifanya kabla hata ya Mwaka wa Fedha 2021/2022. Mimi ni wa CCM lakini hakika mkilisema hilo kura nawapa ninyi pamoja na UCCM wangu.

Tunataka maneno yahamie kwenye vitendo sio maneno neno tu kama wanavyotufanyia CCM!
Aongezee na malimbikizo ya mshahara ya 2020 na makato makubwa ya bodi ya mikopo
 
Back
Top Bottom