Pale tulipigwaDorotia mambo yake valuvalu sana,hii wizara na naibu wake huwa hawaeleweki.
Taarifa hazijitoshelezi kwa umma.
Kama vipi wapitishie taarifa kwa msemaji wa serikali ili amdadisi kwanza kabla ya walaji.
Wakutoa ushahidi ni nyie msioamini tamko la waziriSio kazi ya Zitto kutoa takwimu. Ila zinapotolewa takwimu na mamlaka husika na kwa uelewa wake akaona zina kasoro (fake), ana haki na wajibu wa kutujulisha. Zitto ni kiongozi anayeheshimika ktk jamii, na kama unaona amekengeuka, au unaona waziri yuko sahihi tupe ushahidi utakuwa umesaidia.
kama unalazimisha tuamini hivi ,hunatofauti na aliyesema watanzania mniamini Mimi amekufa kwa ajaliTatizo la Zitto ni kujifanya anajua kila kitu Tanzania aipimi COVID ndani ya nchi. Na COVID sio ugonjwa hatari ivyo for under 50 hadi uende hospitali ni baadhi ya ile risk age groups (over 50 ndio wakipata wanakuwa hospitalised).
Sasa it’s possible kabisa kwa sasa kuna watu 400 na ushee waliojitokeza (mostly ni ile age group au wenye magonjwa yanayopunguza kinga ya mwili) na kati yao 69% ndio wenye kutumia mitungi. Ni takwamu ndogo sana ya wagonjwa kusema nchi ina tatizo la COVID.
Nchi za ulaya nyingi washapiga dose mbili watu wote over 50 na karibia over 40 wote washapigwa dose moja au mbili ya vaccine; baada ya kumaliza hayo makundi ndio sasa wanafungulia nchi aina maana COVID imeisha kabisa.
Kwa U.K. nadhani week hii pekee kuna watu zaidi ya 30000 na number inaweza kuwa kubwa maana wengine awapimi wameambukizwa lakini usikii kelele tena kwa sababu wanaopata ni vijana na wengi (under 40) wanajitibia wenyewe majumbani wakishapomwa; wazee wanaopata na kwenda hospitali ni wale waliokuwa wakaidi awakwenda kupigwa chanjo na idadi yao ni ndogo sana na vifo pia ni vidogo sana.
Sasa kwa nchi kama Tanzania ambayo aikuwa na lockdown, COVID itakuwa tatizo kweli leo watu wengi wameshapata COVID sema aikuwa na madhara; na bado ipo lakini sio kama serikali inavyoikuza leo.
Waziri gani wa afya mchafumchafu tena mwanamkeDorotia mambo yake valuvalu sana,hii wizara na naibu wake huwa hawaeleweki.
Taarifa hazijitoshelezi kwa umma.
Kama vipi wapitishie taarifa kwa msemaji wa serikali ili amdadisi kwanza kabla ya walaji.
Mjomba kama wewe unajijua miaka yako 50+ we jivalie barakoa; hiyo COVID waachie vijana waambukizane.kama unalazimisha tuamini hivi ,hunatofauti na aliyesema watanzania mniamini Mimi amekufa kwa ajali
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Mtafuta attention pamoja anasema mambo ya kweli Ila I don't trust this son of JezebelAnaandika Mh Zitto Kabwe:
69% ya wagonjwa wote wakisaidiwa kwa mashine?
1) Hizi takwimu sio za kweli kwa maana wagonjwa ni wengi zaidi ya hao.
2) Waziri kaamua kusema Hata kwenye idadi ya wanaosaidiwa kupumua.
3) Huyu Waziri haaminiki kwa sababu aliongoza Kampeni ya Watu kunywa Sumu. AFUKUZWE KAZI
Katika kila wagonjwa wa UVIKO-19 nchini, 7 wanatumia mitungi ya Gesi! Hii ni rekodi ya Dunia. Haiwezekani, wagonjwa ni wengi zaidi. Kama wenye kutumia msaada wa Gesi ni hao basi wagonjwa ni mara 600 ya hao wanaotajwa.
Tuendelee kujilinda
Naomba uwe specific kwa maaskofu, gwajiboy na yule sheikh wa mkoa mkuu, hao wengine usiwasingizie. Wapo maaskofu wengine mpaka walitoa likizo za ibada mpaka mwendazake akawachukiaAcheni kumsingizia Dorothy, ni Magufuli na maaskofu na Mashehe waliotuambia tuombe, tufunge na tujifukize.
Niliandika post ya hivi,mods wakabarn,is it not partiality?Kiukweli hili tatizo halihitaji waziri mwenye ndimi mbili, waziri huyuhuyu aliwadanganya watu na sasa anakuja vingine, back Ummy Mwalimu, aliitumikia nafasi yake vilivyo
Inawezekana walitaka kumban jirani yako wakateleza wakaangukia kwakoNiliandika post ya hivi,mods wakabarn,is it not partiality?
Hapana, Raisvwetu anafaa, she wafanyakazi wa umma tunampenda.Yaani ni wote hawafai kuanzia Raisi mpaka wasaidizi wake. Waliorithi madaraka..!
Zito alete takwimu zake, alizofanya utafiti sio kupiga makelele. Yeye na waziri wa afya nani mwenye haki yakutoa takwimu za uviko-19
Vipi lingekuwa jiwe lenyewe limemsema mtu?Angekuwa Mbowe ndio kasema hivi, ungeona pambio za kutosha sana kutoka kwa Machaga kwenda kwa mwamba mbowe🤣
Siasa za bongo bana
Alichotoa zitto sio maoni ni kaja na takwimu zake ambazo hazina tafiti. Kusema Kuna wagonjwa zaidi ya... hii ni takwimu/idadiTakwimu zinatolewa na mamlaka maalum ni kinyume Cha sheria kila mtu kutoa takwimu....
Zito ana haki ya kutoa maoni.
indeedPale tulipigwa
Ni kiongozi wa hovyo kabisaMama anaupiga mwingi ila hapo kwa dk gwajima kachemsha,kuna sabotage kubwa sana anafanyiwa,dk gwajima bado anaabudu mzimu wa magufuli