Uchaguzi 2020 Zitto Zuberi Kabwe: Watanzania hawatatusamehe tusipokuwa na mgombea mmoja wa Urais, mgombea mmoja kila Jimbo na kila Kata

Wadhamini anatafuta kimya kimya?
Huyu ndiye mzalendo wa kweli maana ana hofu ya mungu na anafuata taratibu na kanuni za uchaguzi unapotafuta wadhamini. Siyo yule mpayukaji anaofanya watu waache shughuli zao waende kumshangaa
 
Zitto anasahau mapema sana.
Mwaka 2015 alikataa kujiunga na UKAWA, je huo ulikuwa ubinafsi?!

1. Zitto ni opportunist sana. Anafahamu fika ACT inaweza kuwa chama kikuu cha Upinzani kwa idadi kubwa ya Wabunge lakini sio kwa wingi wa kura.
Ana uhakika wa walau majimbo 20 ya Ubunge na Uwakilishi.

2. ACT Wazalendo kama itaungana na vyama vingine ni wazi kuwa atataka mgombea atoke ACT. Hiyo ni kuiua CHADEMA kwa mbinu rahisi sana.
 
Mbowe is very selfish.

But, too bad he's on a losing side.

Zitto hata akipata wabunge 5 ni hatua kubwa sana.

What is the selfishness of Hon Mbowe? Substantiate. Tundu is the flag bearer and not Mbowe! However Zitto and Maalim have just invited Hon Membe (alias John the Baptist)to clear the way for President Dr Magufuli the role played by Zitto in 2015 by attacking the then opposition flag bearer Hon Lowassa calling him ‘FISADI’!! Upinzani hakuna lolote, ni wabinafsi(egoistic), they are after publicity and fame. However I guess Tanzania mainland ACT Wazalendo will manage Zero member of parliament while CHADEMA will part with at least 10 M.Ps!!!!! The rest of the opposition parties will reap “ZERO” members of parliament!
 
Huu ndo ulaghai wa kipimbi kabsa. Inajulikana kabsa mwaka 2020 ni uchaguzi kwa nini wasingelianza mazungumzo mapema hata mwezi wa kwanza. Hata vikao vya pamoja tukajua wana ajenda moja sio sasa hivi wanakuja na mpango wa haraka . Baada ya kuona kipekee hawawezi toboa hata wabungewa majimbo 50. Kuweni na long and short plan sio kwenda kwa pupa tu.

Kumbuka nini Faida ya muungano huo na hasara zake. Maana Lazima vyama vingine vikubali kupoteza Ruzuku lakini sasa kwa makubaliano yapi. Ni mjadala wa siku nyingi sio kuja jukwaani na kuadress wakati hatasikumoja hamjafanya kikao chapamoja kwa agenda ya uchaguzi 2020.
 
Too late....Kuna kitu anamaanisha katika haya Maneno yake ambacho Ni kinyume KBS na anachotaka tuamini. Zito huaminiki. Uliwakataa wenzio 2015 kipindi Cha ukawa Leo kitu Gani kinakusukuma hivi?
 
Hiyo ilikua sera ya Ukawa 2015 mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema alitoa ahadi hiyo naona ushasahau Mara hii.

Au umeamua kujitoa ufahamu tu.

..Lowassa alipokelewa ikulu.

..Babu Seya na Papii walipokelewa ikulu.

..Je, hujamuona Papii anatumbuiza ktk matamasha ya ccm?

..sera ya kulawiti watoto ni sera ya ccm.
 
Owkay !!

Let him clear the way as you said.

You did the same in 2005, 2010 et al as you robbed CUF of their position.

Then, now you're in great fear of undergoing the same.

Your destiny is near, and that's what makes feel coward of any political party with little steps ahead.
 
Too late....Kuna kitu anamaanisha katika haya Maneno yake ambacho Ni kinyume KBS na anachotaka tuamini. Zito huaminiki. Uliwakataa wenzio 2015 kipindi Cha ukawa Leo kitu Gani kinakusukuma hivi?
Zitto alishalijibu hili kwamba Chadema na ukawa ndiyo waliomtenga hawakutaka kabisa washirikiane naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…