kambale mnene
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 271
- 197
Miaka ya Mimi nikiwa kijana utani wa simba na yanga ulikuwa wa kucheka na kufurahi.SOKA LILIKUWA TAMU
Miaka hii,imekuwa robo tatu ni vita,chuki ugomvi na kudharaulina.
Hii hali ikiachwa iendelee haitatutoa kwenye unyonge wa soka barani afrika na duniani kwa ujumla
Ni muda sasa wizara husika kuweka mipaka ya utani kwa kupeleka muswada bungeni ili utani uwe na mipaka.
Wanaijiita wachambuzi,nao wamekuwa wachonganishi sana,baina ya mtu na mtu,club na club
Utakuta tukio dogo sana ( tofauti) baina ya mtu na mtu,lakini wanavyolikuza huwezi amini kuwa hao ndiyo wanaopiga kelele juu ya soka letu kudorola.
Badala ya kuchambua choka waenda kuchambua tofauti za watu.
Hata kama mkosewa alitaka kusamehe anakolezwa moto.
SOKA LETU LISIMAMIWE KISHERIA
Miaka hii,imekuwa robo tatu ni vita,chuki ugomvi na kudharaulina.
Hii hali ikiachwa iendelee haitatutoa kwenye unyonge wa soka barani afrika na duniani kwa ujumla
Ni muda sasa wizara husika kuweka mipaka ya utani kwa kupeleka muswada bungeni ili utani uwe na mipaka.
Wanaijiita wachambuzi,nao wamekuwa wachonganishi sana,baina ya mtu na mtu,club na club
Utakuta tukio dogo sana ( tofauti) baina ya mtu na mtu,lakini wanavyolikuza huwezi amini kuwa hao ndiyo wanaopiga kelele juu ya soka letu kudorola.
Badala ya kuchambua choka waenda kuchambua tofauti za watu.
Hata kama mkosewa alitaka kusamehe anakolezwa moto.
SOKA LETU LISIMAMIWE KISHERIA