Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Mnamo mwaka 2020 kuelekea mpaka 2021, ziwa Basotu, wilaya ya Hanang, mkoani Manyara lilikuwa linaleta madhara makubwa kwa wananchi kwa maji yake kujaa, kusambaa kwenye makazi ya watu na kusababisha mafuriko.
Nakumbuka vyombo vya habari vilitoa takwimu mwaka 2021 kuwa watu zaidi ya 90 walikosa makazi yaliyoezuliwa na maji yaliyotoka ziwa Basotu. Isitoshe, nakumbuka barabara maarufu iliyokua inaonganisha maeneo muhimu ilifungwa kwasababu ya maji kujaa na kuharibu miundombinu.
Naombeni mchango wenu kwa wakazi wa eneo husika au mtu mwingine yoyote anayefahamu kuwa ziwa lile lilishafanyiwa maboresho? Na je, maboresho hayo yameleta tija kwa wananchi au bado wananchi wa Hanang wanataseka?
Karibuni.
Nakumbuka vyombo vya habari vilitoa takwimu mwaka 2021 kuwa watu zaidi ya 90 walikosa makazi yaliyoezuliwa na maji yaliyotoka ziwa Basotu. Isitoshe, nakumbuka barabara maarufu iliyokua inaonganisha maeneo muhimu ilifungwa kwasababu ya maji kujaa na kuharibu miundombinu.
Naombeni mchango wenu kwa wakazi wa eneo husika au mtu mwingine yoyote anayefahamu kuwa ziwa lile lilishafanyiwa maboresho? Na je, maboresho hayo yameleta tija kwa wananchi au bado wananchi wa Hanang wanataseka?
Karibuni.