Zlatan 'Out' Man United

Abuu Kauthar

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2011
Posts
4,296
Reaction score
6,492
Mi naona aende tu, anazuia ukuaaji wa vipaji vya madogo
 

Attachments

  • IMG-20170609-WA0015.jpg
    50.6 KB · Views: 50
Good! Japokuwa kafunga goli 28 bado alipoteza nafasi za wazi zaidi ya 30 na kutufanya tucheze katika wakati mgumu.

Atabakia CARRINGTON kuendelea na matibabu. Huenda akaingizwa Jan 2018 kama tulivyofanya kwa HENRICK LARSON miaka ile kuongeza nguvu. Tusubiri..!

Tunamshukuru kwa yote na kumtakia kila lenye kheri.

Najua ataingia striker mpya mwenye uzoefu zaidi ya hawa madogo waliopo.

[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG] 2017/2018#
 
Watabakia nafasi yao ya tano au sita kama gemu likiwanyookea maana hakuna namna!!!!
 
Km vile toilet paper unatumiwa dheni unatupwa
 
Na man u itashuka daraja
Next season
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…