Zodiac memes and quotes

[emoji1545][emoji1545] bado moja siri ya kifo.. Hili bado linanitatiza sana sana..!
Kuna ile mada unazumzungumzia bundi Kama ndo ndege anaona kifo Cha mtu ata kabla ya mtu kufariki, Kuna sehemu Kama uligusia hivi kuhusu Siri ya kifo sijui Kama Niko sahihi ila kumbukumbu zangu zinanituma hivo 🙏🙏🙏
 
Kuna ile mada unazumzungumzia bundi Kama ndo ndege anaona kifo Cha mtu ata kabla ya mtu kufariki, Kuna sehemu Kama uligusia hivi kuhusu Siri ya kifo sijui Kama Niko sahihi ila kumbukumbu zangu zinanituma hivo [emoji120][emoji120][emoji120]
Nimeandika nyingi pamoja na hii lakini naona bado kuna ombwe mahali


Sanaa ya kifo
 
Kuna ile mada unazumzungumzia bundi Kama ndo ndege anaona kifo Cha mtu ata kabla ya mtu kufariki, Kuna sehemu Kama uligusia hivi kuhusu Siri ya kifo sijui Kama Niko sahihi ila kumbukumbu zangu zinanituma hivo [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Nmekawia kuiona hii "sredi", lkn napenda haswa kufahamu haya maswala.

Najiona me kabsaaaa, kwa mapana na marefu 😃.

Lkn nahtaj kuuliza juu y leo na cancer wanaweza kuoana( kuwa mke na mume, kuanza familia, kuwa na mahusiano)?

Na je, kama haiwezekan ikitokea hivyo ndoa yao itakuaje?!
 
Hapo inabidi cancer awe mpole au awe mwanamke la sivyo itakuwa ni moto juu ya fire
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…