mandago shululu
Senior Member
- Mar 24, 2013
- 125
- 36
Zoezi la kuapisha wajumbe wa katiba pamoja na wabunge-wajumbe la katiba linaloendele sasa linaendelea vizuri ila tu kwa wabunge-wajumbe namna wanavoopa wameshakosea.sana,wenyewe tayali ni wabunge wa kuchaguliwa wengine wakuteuliwa ambao wanakuwa na sifa ya kuwa wajumbe wa bunge maalumu la katiba.kwa sasa wanaapa kama ifuatavyo.
Mimi Martin W Mandago,niliyeteuliwa kuwa mjumbe wa bunge maalumu,ninaapa kwamba nitakuwa mwaminifu na mtiifu wa jumhuri ya muunganano wa Tanzania na kwa kadri ya uwezo na ufahamu wangu nitatimiza wajibu wangu na kufanya kazi zinazonihusu bila upendeleo,ewe mwenyezi mungu naomba unisaidie.
Kiapo hiki kinawafaa tu wale walioteuliwa kuwa wajumbe yaani kundi la 201 kama wanavyojiita wenyewe.Walikuwa wanapaswa kuapa kama ifuatavyo.
Mimi Martin W Mandago mbunge na mjumbe wa bunge maalumu------------.Kwa namna hiyo ingewafaa sana,naomba kutoa hoja.
Mandago 2015 kwimba@
Mimi Martin W Mandago,niliyeteuliwa kuwa mjumbe wa bunge maalumu,ninaapa kwamba nitakuwa mwaminifu na mtiifu wa jumhuri ya muunganano wa Tanzania na kwa kadri ya uwezo na ufahamu wangu nitatimiza wajibu wangu na kufanya kazi zinazonihusu bila upendeleo,ewe mwenyezi mungu naomba unisaidie.
Kiapo hiki kinawafaa tu wale walioteuliwa kuwa wajumbe yaani kundi la 201 kama wanavyojiita wenyewe.Walikuwa wanapaswa kuapa kama ifuatavyo.
Mimi Martin W Mandago mbunge na mjumbe wa bunge maalumu------------.Kwa namna hiyo ingewafaa sana,naomba kutoa hoja.
Mandago 2015 kwimba@
Last edited by a moderator: