Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mabalozi wa CCM wilaya ya Mtwara Mjini wametakiwa kuhamasisha wananchi, hasa vijana, mama lishe, na wanachama wasiokuwa na vitambulisho vya mpiga kura, kushiriki kwenye zoezi la kujiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura linalotarajiwa kufanyika Februari 27, 2025.
Soma, Pia: Afisa Uandikishaji Halmashauri ya Mbeya: Msilewe na kutumia vilevi wakati mnaandikisha wananchi kwenye daftari la kudumu la wapiga kura
Katibu wa CCM wilaya hiyo, Fadhiri Mrami, alieleza kuwa Manispaa ya Mtwara Mikindani ina wakazi 145,536, kati yao wanachama wa CCM ni 33,420, akisisitiza umuhimu wa kuongeza wanachama.
Mbunge wa Mtwara Mjini, Hassan Mtenga, alitumia kikao hicho kufikisha salamu za Rais Samia na kuahidi mifuko 100 ya saruji kwa kata 17 kwa ajili ya ujenzi wa ofisi za chama.
Mwenyekiti wa Mabalozi Kata ya Likombe, Muhammed Milanzi, alisisitiza mabalozi kutanguliza maslahi ya wananchi katika uchaguzi mkuu.
Soma, Pia: Afisa Uandikishaji Halmashauri ya Mbeya: Msilewe na kutumia vilevi wakati mnaandikisha wananchi kwenye daftari la kudumu la wapiga kura
Katibu wa CCM wilaya hiyo, Fadhiri Mrami, alieleza kuwa Manispaa ya Mtwara Mikindani ina wakazi 145,536, kati yao wanachama wa CCM ni 33,420, akisisitiza umuhimu wa kuongeza wanachama.
Mbunge wa Mtwara Mjini, Hassan Mtenga, alitumia kikao hicho kufikisha salamu za Rais Samia na kuahidi mifuko 100 ya saruji kwa kata 17 kwa ajili ya ujenzi wa ofisi za chama.
Mwenyekiti wa Mabalozi Kata ya Likombe, Muhammed Milanzi, alisisitiza mabalozi kutanguliza maslahi ya wananchi katika uchaguzi mkuu.