LGE2024 Zoezi la kujiandikisha mpiga kura awamu hii ni simple sana

LGE2024 Zoezi la kujiandikisha mpiga kura awamu hii ni simple sana

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Kumbe mtu unaweza toka bonyokwa ukaenda kujiandikishia boko au masaki na usiulizwe kitambulisho wala ulikotoka/unakaa wapi ,yaani shida yao ni majina yako matatu tuu hata ukidanganya naitwa sumbwili mwanarugati wao wanaandika tuu fresh imetoka hiyo.

Nimeshindwa elewa hivi kwa staili hii si hata raia wa kigeni ruksa upiga kura?au siku ya kupiga kura ndio watahitaji hicho litambulisho.naje!kwa hali hii mtu mmoja si anaweza jiandikisha hata vituo 20 tofauti tofauti na akaja piga kura vyote?
Kwa hili hii tume imechemka mapema sijaju huko mbeleni
 
Kwakweli sijashuudia lakini kama ulivyosema wewe kama ni kweli mambo haya yatakuwa magumu
 
Back
Top Bottom