joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Denmark boosts Kenya’s Covid-19 fund
Mara nyingi takwimu lengo lake ni ili kupanga mipango na bajeti ya kukabiliana na tatizo husika, ila kwa nchi zilizogubikwa na rushwa, takwimu zimegeuzwa kuwa ni sababu ya kuomba misaada ili kuwanufaisha watu wachache.
Hongera Jirani kelele za kila siku za kuitangazia dunia idadi ya watu wenye maambukizi, bila kutangazia wananchi wako njia na mbinu mpya za kupunguza maambukizi, hatimae zimenza kusikika huko kwa wazungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi takwimu lengo lake ni ili kupanga mipango na bajeti ya kukabiliana na tatizo husika, ila kwa nchi zilizogubikwa na rushwa, takwimu zimegeuzwa kuwa ni sababu ya kuomba misaada ili kuwanufaisha watu wachache.
Hongera Jirani kelele za kila siku za kuitangazia dunia idadi ya watu wenye maambukizi, bila kutangazia wananchi wako njia na mbinu mpya za kupunguza maambukizi, hatimae zimenza kusikika huko kwa wazungu.
Sent using Jamii Forums mobile app