Zoezi la uandikishaji daftari la wapiga kura kwa Dar es salaam limefikia wap? Kuna watu wameitwa? au process Bado?

Zoezi la uandikishaji daftari la wapiga kura kwa Dar es salaam limefikia wap? Kuna watu wameitwa? au process Bado?

Kuna watu Bado mnawaza kwenda kupiga kura?

Unawaza kabisa kupanga foleni kupiga kura?

Mimi nakitaka kitambulisho cha kupigia kura ili niwe naombea mikopo mtandaoni
 
tafuta ishu zingine ufanye kuna mkoa wanaenda kuanza hii feb watu wameliwa vichwa balaa nahisi wanaweka watu wao
 
tafuta ishu zingine ufanye kuna mkoa wanaenda kuanza hii feb watu wameliwa vichwa balaa nahisi wanaweka watu wao
Uvccm ata kama umeishia darasa la 4 unaenda na wanatoa majina kimya kimya msitegemee kuona kwenye website wala sehemu yoyote
 
Uteuzi umeanza ila kimya kimya maana Ndugu na Wanachama ndio wanaochukuliwa.
 
Back
Top Bottom