LGE2024 Zoezi la uandikishaji wa wapiga kura (INEC) halijaamasishwa sana, isipokuwa kwa viongozi wa CCM waliwaambia wanachama wao wahakikishe wanatimiza zoezi

LGE2024 Zoezi la uandikishaji wa wapiga kura (INEC) halijaamasishwa sana, isipokuwa kwa viongozi wa CCM waliwaambia wanachama wao wahakikishe wanatimiza zoezi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

nuporo

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2018
Posts
1,534
Reaction score
3,387
Zoezi la uandikishaji wa wapiga kura (INEC) halijaamasishwa sana, isipokuwa kwa viongozi wa CCM waliwaambia wanachama wao wahakikishe wanapata kadi za kupiga kura.
.
Ni mpango kabambe vijana wengi wasijiandikishe ili zoezi la upigaji kura liwe rahisi kwa CCM.

Matangazo hayatolewa kwa wingi maeneo ya kujiandikisha. Zoezi linaendeshwa kimya kimya sana
Vijana wengi ambao ndio walengwa hawajui umuhimu wa kujiandikisha wapo wapo tu keyboard warriors

Soma Pia:
CCM, imehamasisha watu wao wajiandikishe sana maana ndio wapiga kura wao wa baadae .

Je ni matukio haya ni bahati mbaya au ni mpango mkakati wa 2025?
 
Kwani ili wananchi wakajiandikishe wanahitaji hamasa gani zaidi ya kujitambua wao na wajibu wanaopaswa kuutekeleza?
Hao ccm wanaenda kuwabeba watu wao wakajiandikishe?
Kama vijana watatambua kwamba wanapaswa kushiriki vizuri kwenye masuala yanayohusu uraia wao kuliko kuandamana mitandaoni, wataibadilisha hii nchi kwa dakika tu
 
Kwani ili wananchi wakajiandikishe wanahitaji hamasa gani zaidi ya kujitambua wao na wajibu wanaopaswa kuutekeleza?
Hao ccm wanaenda kuwabeba watu wao wakajiandikishe?
Kama vijana watatambua kwamba wanapaswa kushiriki vizuri kwenye masuala yanayohusu uraia wao kuliko kuandamana mitandaoni, wataibadilisha hii nchi kwa dakika tu
Shuleni kuna somo la civics, halafu linatokea boya linataka kufundishwa civics mtaani na jitu limesoma walau akapata D 2.
 
Zoezi la uandikishaji wa wapiga kura (INEC) halijaamasishwa sana, isipokuwa kwa viongozi wa CCM waliwaambia wanachama wao wahakikishe wanapata kadi za kupiga kura.
.
Ni mpango kabambe vijana wengi wasijiandikishe ili zoezi la upigaji kura liwe rahisi kwa CCM.

Matangazo hayatolewa kwa wingi maeneo ya kujiandikisha. Zoezi linaendeshwa kimya kimya sana
Vijana wengi ambao ndio walengwa hawajui umuhimu wa kujiandikisha wapo wapo tu keyboard warriors

Soma Pia:
CCM, imehamasisha watu wao wajiandikishe sana maana ndio wapiga kura wao wa baadae .

Je ni matukio haya ni bahati mbaya au ni mpango mkakati wa 2025?
Unalosema unaushahidi nalo kweli? Mbona matangazo yanayoka sana. Lakini viongozi wa CHADEMA, ACT, CUF na wengine wote nao wako wapi wasihimize watu kujiandikisha?
Kawaida mnapotembea wawili au watatu mmoja akiingia kichakani kujisaidia na wengine hufuata. Vipi katika hili na ninyi msifuate?
 
Unasema hakuna matangazo kweli? Tusiwaonee INEC katika hili tuwaunge mkono.
 
Back
Top Bottom