TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau,
Kwenye mitaa yetu hususa huku uswazi kuna zoezi la ukusanyaji taka ambalo wanachaji 3000/= mpaka 5000/= kila kaya kiukweli hii ni pesa nyingi sana ambayo serikali za mitaa/mkandarasi wa taka anakusanya cha ajabu ukilipa haupewi risiti ya electronic.
Ila point yangu ni:
Je, hili zoezi limepata baraka zote toka wizara husika na serikali kuu?
Je, Taifa halioni linapoteza mapato kupitia utaratibu huu wa ukusanyaji na utoaji wa risiti zisizo za electronic?
Je, ushirikishwaji wa wananchi kuhusu viwango vya kulipia ulifuatwa?
Asanteni
Kwenye mitaa yetu hususa huku uswazi kuna zoezi la ukusanyaji taka ambalo wanachaji 3000/= mpaka 5000/= kila kaya kiukweli hii ni pesa nyingi sana ambayo serikali za mitaa/mkandarasi wa taka anakusanya cha ajabu ukilipa haupewi risiti ya electronic.
Ila point yangu ni:
Je, hili zoezi limepata baraka zote toka wizara husika na serikali kuu?
Je, Taifa halioni linapoteza mapato kupitia utaratibu huu wa ukusanyaji na utoaji wa risiti zisizo za electronic?
Je, ushirikishwaji wa wananchi kuhusu viwango vya kulipia ulifuatwa?
Asanteni