Zoezi la urejeshaji wa Miundombinu Barabara Kuu Lindi-Dar eneo la Somanga laendelea

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Timu ya Wataalamu kutoka Wakala wa Barabara (TANROADS) wanasimamia zoezi hilo ili mawasiliano katika Barabara Kuu ya Lindi - Dar es Salaama kurejea kwa haraka.

Waziri wa Ujenzi, Bashungwa alieleza kuwa timu ya watalaamu wa Wakala ya Barabara (TANROADS) na Makandarasi itatumia saa 72 (siku 3) kukamilisha zoezi la kurejesha miundombinu ya barabara hiyo ambayo iliharibiwa baada ya mvua kubwa zilizoambatana na Kimbunga Hidaya kunyesha.


Your browser is not able to display this video.


Pia soma Waziri wa Ujenzi atoa maelekezo mawasiliano Barabara ya Dar - Lindi yarejee ndani ya Saa 72
 
Inapendeza sana,,, hii route ya Mtwara - Songea - Makambako - Iringa sio kitoto..
Halkadharikahii barabara ya Songea mpaka Makambako sijawahi ielewa, barabara ni nyembamba sana, ina viraka sana, Kona mbaya ni nyingi mno, miti mingi sana mpaka inatia giza in road
 
Hivi uchukuzi wakileta Meli,itakosa wapandaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…