Thailand
JF-Expert Member
- Nov 15, 2019
- 275
- 795
Golini akae 1. Kakolanya,
4. Quaatara 5. Inonga
2. Kapombe. 3. Tshabalala,
6. Mkude,
7. Sacko,. 8. V. Ackpan. 11. Okrah,
10. Chama,
9. Kibu D,
Formation 3: 5: 2
Hapo goli ni lazima kwa sababu Yanga inatakiwa kushambuliwa mwanzo mwisho huwa wanapoteana hao.
Sub;
8. Victor Akpan atampisha Mzamiru Yassin kama mechi itakuwa soft ikiwa hard game Victor atampisha Sadio Kanoute,
7. Sacko atampisha Peter Banda kama tutakuwa tumeshapata matokea, kama ni hard game Okwa ataingia,
9. Kibu D atampisha Moses Phili,
Hapo baada ya game wanasimba tunashangilia ushindi.
"Simba nguvu moja"
4. Quaatara 5. Inonga
2. Kapombe. 3. Tshabalala,
6. Mkude,
7. Sacko,. 8. V. Ackpan. 11. Okrah,
10. Chama,
9. Kibu D,
Formation 3: 5: 2
Hapo goli ni lazima kwa sababu Yanga inatakiwa kushambuliwa mwanzo mwisho huwa wanapoteana hao.
Sub;
8. Victor Akpan atampisha Mzamiru Yassin kama mechi itakuwa soft ikiwa hard game Victor atampisha Sadio Kanoute,
7. Sacko atampisha Peter Banda kama tutakuwa tumeshapata matokea, kama ni hard game Okwa ataingia,
9. Kibu D atampisha Moses Phili,
Hapo baada ya game wanasimba tunashangilia ushindi.
"Simba nguvu moja"