Zolan nipangie hiki kikosi tumuue mwananchi mapema asubuhi

Thailand

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2019
Posts
275
Reaction score
795
Golini akae 1. Kakolanya,
4. Quaatara 5. Inonga
2. Kapombe. 3. Tshabalala,

6. Mkude,
7. Sacko,. 8. V. Ackpan. 11. Okrah,

10. Chama,
9. Kibu D,

Formation 3: 5: 2
Hapo goli ni lazima kwa sababu Yanga inatakiwa kushambuliwa mwanzo mwisho huwa wanapoteana hao.

Sub;
8. Victor Akpan atampisha Mzamiru Yassin kama mechi itakuwa soft ikiwa hard game Victor atampisha Sadio Kanoute,

7. Sacko atampisha Peter Banda kama tutakuwa tumeshapata matokea, kama ni hard game Okwa ataingia,

9. Kibu D atampisha Moses Phili,
Hapo baada ya game wanasimba tunashangilia ushindi.

"Simba nguvu moja"
 
Watu kama nyie mnaoendaga na matokeo mfukoni, kikigeuka mnazimia
 
YANGA inawatesa sana... hamlali
 
Zoran nipangie hiki kikosi
1 Beno
2 Kapombe
3 M.Husein
4 Ouattara
5 Inonga

6 Akpan
7 Kibu
8 Okwa.
9 ( yeyote)
10 Chama
11 Okrah

Mfumo 4:2:3:1

Kazi ya Akpan, Okwa, Chama na Okrah ni kuvuruga vuruga pale Kati hadi watu wapoteane



Subs

Onyango, mkude, Mzamiru, Sakho, Banda, Mzungu
 
Yaani kirahisi hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…