Zote hizi ni ghorofa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Zote hizi ni ghorofa
  • Nyingine imejengwa bila nguzo na bim (column & beam):- uzito wa slab unabebwa na matofari/ukuta
  • Nyigine imejengwa kwa nguzo, bim, na slab (column, beam, slab) na baadaye itajaziwa matofari :- uzito wa slab unabebwa na nguzo na bim
Maamuzi ni yako, ujenge ipi kutokana na mfuko wako.

 
Hiyo ya tofali, chini lazima ujenge kwa tofali za nchi sita, tena za kulala. Juu weka nchi tano hata zikisimama siyo mbaya! Tofauti na hapo yaliyotokea Goba yanakuita.

Ila nguzo ni muhimu na lazima ziwepo kwa majengo yote hayo ya aina mbili mkuu.

Bila nguzo itakuwa banda la kuhifadhia njiwa labda.
 
Hiyo ya tofali, chini lazima ujenge kwa tofali za nchi sita, tena za kulala. Juu weka nchi tano hata zikisimama siyo mbaya!
Tofauti na hapo yaliyotokea Goba yanakuita...
Kwa hiyo, hiyo ambayo haina nguzo ni banda la kuhifadhia njiwa?
 
Je hio ambayo haina nguzo inaweza kwenda juu floors nne zaidi?
 
Technology ya majengo pia imehama, siku hizi kuna gorofa zinajengwa na mega panels, tembelea YouTube kujua zaidi. Inakua hamna collum wala slab la nondo ni mwendo wa wire mesh
Kuna ujenzi mwingine kwenye slab wanaweka tofali zinaitwa Letice kama sijakosea.
Zote hizi zinawezekana inategemea na architect wako kama bado anajiendeleza na shule au anatumia vitini vya miaka ya 2000 huko
 
Kwakweli toka vurugu za UDOM mwaka wa MWAKIBINGA jamaa FLANI kuanguka toka gorofa ya 3 sina hamu na gorofa maishan..labda niwe na house yenye ground flow
 
Sekta ya ujenzi inakuwa kwa kasi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…