Zuchu afikisha followers Million 1 Instagram

Zuchu afikisha followers Million 1 Instagram

crankshaft

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,427
Reaction score
3,438
Msanii wa muziki kutoka WCB wasafi, Zuchu amefikisha followers million 1 ndani ya miezi minne tu tangu kutambulishwa rasmi katika label hiyo kubwa Afrika Mashariki na kati.

Zuchu pia ana subscribers laki tatu katika account yake ya YouTube ambayo imefikisha viewers million 36 akiwaacha mbali wasanii wenzake waliotambulishwa kipindi kimoja.

Zuchu pia amefanikiwa kufikisha streams million 3 katika boomplay katika kipindi hiki kifupi akiwa na nyimbo 5 tu;kwaru, raha, wana, nisamehe na hakuna kulala na kuwaacha mbali wasanii wengi wakongwe katika digital platforms za kusikiliza muziki.

Tofauti na wasanii wengi wa kike nchini, Zuchu ni msanii anaye andika nyimbo zake mwenyewe.

ce895f31df142950313f4694cf72b811.jpg

Hivyo niipongeze management ya WCB Wasafi chini ya Diamond Platnumz kwa namna wanavyokuza wasanii ikiwamo huyu Zuchu.

Screenshot_20200801-223156.png
@officialzuchu soundchek - Uhurukunajambo TAR 15 Aug - rafiki_wa_zuchu_official  @ ( 1350 X 10...jpg
 
Msanii wa muziki kutoka WCB wasafi, Zuchu amefikisha followers million 1 ndani ya miezi minne tu tangu kutambulishwa rasmi katika label hiyo kubwa Afrika Mashariki na kati.

Zuchu pia ana subscribers laki tatu katika account yake ya YouTube ambayo imefikisha viewers million 36 akiwaacha mbali wasanii wenzake waliotambulishwa kipindi kimoja.

Zuchu pia amefanikiwa kufikisha streams million 3 katika boomplay katika kipindi hiki kifupi na kuwaacha mbali wasanii wengi wakongwe katika digital platforms za kusikiliza muziki.

Labda ni kweli hamfikii Nandy, Maua Sama, Ruby au Lady Jay Dee kutokana na maoni ya watu tofauti, lakini kama mbegu inayohitaji maji na mbolea ili ikue vizuri ndivyo na vipaji vya wasanii hawa vinavyohitaji team bora kwa mafanikio.

Hivyo niipongeze management ya WCB Wasafi chini ya Diamond Platnumz kwa namna wanavyokuza wasanii ikiwamo huyu Zuchu.

Tuachane na hayo ya followers wake vipi unaweza nisaidia kupata namba yake..??
Anakitu cha ziada huyu mtoto nje na uimbaji..😜
 
Msanii wa muziki kutoka WCB wasafi, Zuchu amefikisha followers million 1 ndani ya miezi minne tu tangu kutambulishwa rasmi katika label hiyo kubwa Afrika Mashariki na kati.

Zuchu pia ana subscribers laki tatu katika account yake ya YouTube ambayo imefikisha viewers million 36 akiwaacha mbali wasanii wenzake waliotambulishwa kipindi kimoja.

Zuchu pia amefanikiwa kufikisha streams million 3 katika boomplay katika kipindi hiki kifupi akiwa na nyimbo 5 tu;kwaru, raha, wana, nisamehe na hakuna kulala na kuwaacha mbali wasanii wengi wakongwe katika digital platforms za kusikiliza muziki.

Tofauti na wasanii wengi wa kike nchini, zuchu ni msanii anaye andika nyimbo zake mwenyewe.
View attachment 1555125
Hivyo niipongeze management ya WCB Wasafi chini ya Diamond Platnumz kwa namna wanavyokuza wasanii ikiwamo huyu Zuchu.

Zuchu kama Zuchu
 
Back
Top Bottom