Sasa mbona wote wapo views milioni 6+kwa 6+?Zuchu na harmonize waliachia nyimbo zao siku moja huko youtube
Lakini katika hali ya kushangaza views za Harmonize zilionekana kupaa ghafla kwa speed ya light π π π mpaka watu tukawa tunashangaa imekuwaje?
Sasa ni wiki nne kamili zimepita toka waachie nyimbo zao na kwa hali isiyo ya kawaida roboti sijui zimeharibika? π€£π€£π€£ maana moto alopelekewa huko si wa kitoto
View attachment 1873051View attachment 1873052
OK, hatuwezi kujua pengine pande zote zinatumia robot kupiganaAmbacho hujaelewa ni nini? Wakati harmo anafikisha views 5M+ Zuchu alikuwa na 3M+, sahivi ubao unasomaje?
Views za harmonize zikipanda tena speed kuliko za chuchu huoni wewe ndio utakuwa umeshupaza fuvu?πππ endelea kushupaza shingo
Wote hao watu wa mariboti..mtoto wa kike na marorboti ya bosi wake,mmakonde nae anayo kama yote siku hizi[emoji3525][emoji3525][emoji3525]Zuchu na harmonize waliachia nyimbo zao siku moja huko youtube
Lakini katika hali ya kushangaza views za Harmonize zilionekana kupaa ghafla kwa speed ya light [emoji28][emoji28][emoji28] mpaka watu tukawa tunashangaa imekuwaje?
Sasa ni wiki nne kamili zimepita toka waachie nyimbo zao na kwa hali isiyo ya kawaida roboti sijui zimeharibika? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] maana moto alopelekewa huko si wa kitoto
View attachment 1873051View attachment 1873052