Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wapinzani wake wanasema kuwa anatumia juhudi nyingi sana za mazoezi na kujizuia kula ili asinenepe. Kweli ni mnene anayejikondesha ama ni kimbau mbau wa asili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
like mother like daughter?Ni suala la muda tuu kabla hajawa tinginya nyanya..
View attachment 2343528
Wapinzani wake wanasema kuwa anatumia juhudi nyingi sana za mazoezi na kujizuia kula ili asinenepe. Kweli ni mnene anayejikondesha ama ni kimbau mbau wa asili??
Hukulazimishwa kukoment acha ushirikina!Hata kama ni celeb,ndio tujadili asili ya unene/uwembamba wake kweli??!
Copied. Any chance of surviving? Or just wasting resources.....Kama mleta mada ni mwanaume, basi itoshe kusema "mwendo umeumaliza".
Man down, i repeat man down!
Bravo do you copy?
AiseeeHukulazimishwa kukoment acha ushirikina!
Muachieni maisha yake binafsi, acheni uchawiView attachment 2343528
Wapinzani wake wanasema kuwa anatumia juhudi nyingi sana za mazoezi na kujizuia kula ili asinenepe. Kweli ni mnene anayejikondesha ama ni kimbau mbau wa asili?
The best comment in this thread[emoji817][emoji818]Napenda sana maendeleo yake huyu dada
Kama mleta mada ni mwanaume, basi itoshe kusema "mwendo umeumaliza".
Man down, i repeat man down!
Bravo do you copy?
Kwamba hujaona unatafutwa?Sura yake ya unene ila mwili wa wembamba....
Muda ukisogea atakua kama bi mkubwa
Huyo anajikondesha angalia fuvu lake la kichwa lilivyokuwa pana na umbali kati ya jicho na jicho...View attachment 2343528
Wapinzani wake wanasema kuwa anatumia juhudi nyingi sana za mazoezi na kujizuia kula ili asinenepe. Kweli ni mnene anayejikondesha ama ni kimbau mbau wa asili?