katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babeeeh miss u [emoji7][emoji7]Siku ukijua kuandika vizuri ndio utajua nani Mkali.
Miss u more darlin 😘😍[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babeeeh miss u [emoji7][emoji7]
Dah [emoji23][emoji1787]Hivi nimewahi kuwahadithia kuna mshkaji alikosea namba mi nikajua ni mchuchu niliotoka kuupa namba halafu mshkaji akawa anajua ni mchuchu anaoufukuzia? Bado?
Kiba kamshinda mind vieus tuambie maoni yako na apoJamani nashangaa kuona hili hivi mnasema alikiba hajui kuimba kuliko zuchu?
nyimbo ya alikiba salute ya mwezi huu imekata vizuri tu.
na hii ya bibie inaitwa nyumba ndogo kazi kwenu nani mkali
Sasa wewe umeshajua jinsia yako ??Siku ukijua kuandika vizuri ndio utajua nani Mkali.
Unaandika vitu gani we mtoto hujakua tu?Sasa wewe umeshajua jinsia yako ??
Kupata watoto sio kukua mtu akikudharau lazima umdharauUnaandika vitu gani we mtoto hujakua tu?
Kwa hiyo wamekudharau yaani umedharaulika okay umejidharau au umedharauliwa tuseme unadharaulika lakini mbona kama wanakudharau???Kupata watoto sio kukua mtu akikudharau lazima umdharau
Weee acha domo hilo niwewe unanidharau nasipendi.Kwa hiyo wamekudharau yaani umedharaulika okay umejidharau au umedharauliwa tusema unadharaulika lakini mbona kama wanakudharau???
Hujui heshima nini,Kwa hiyo wamekudharau yaani umedharaulika okay umejidharau au umedharauliwa tusema unadharaulika lakini mbona kama wanakudharau???