Zuchu atangaza kuachana tena na Diamond. Ni kiki ya wimbo mpya au ndo uvumilivu umemshinda?

Zuchu atangaza kuachana tena na Diamond. Ni kiki ya wimbo mpya au ndo uvumilivu umemshinda?

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu.

Ni wazi kuwa tangu mwaka huu uanze Zuchu hana any solid projects kwenye catalogue.

Nyimbo zote ambazo amekuwa akitoa, zinahit kidogo Tiktok, baada ya mwezi zinapotea.

Hii taarifa yake kwamba ameachana na Diamond its an obvious showbiz prank ili kuteka attention ya mashabiki.

Everytime Zuchu akiwa anataka kufanya jambo lake amekuwa akitumia hii kiki ya kuachana na huyo Diamond ili apate attention ya mashabiki.

Its all showbiz.

break up.png
 
Wakuu.

Ni wazi kuwa tangu mwaka huu uanze Zuchu hana any solid projects kwenye catalogue.

Nyimbo zote ambazo amekuwa akitoa, zinahit kidogo Tiktok, baada ya mwezi zinapotea.

Hii taarifa yake kwamba ameachana na Diamond its an obvious showbiz prank ili kuteka attention ya mashabiki.

Everytime Zuchu akiwa anataka kufanya jambo lake amekuwa akitumia hii kiki ya kuachana na huyo Diamond ili apate attention ya mashabiki.

Its all showbiz.

Kiki......kwani walianza lini uhusiano wakati hana msambwanda?
 
Wakuu.

Ni wazi kuwa tangu mwaka huu uanze Zuchu hana any solid projects kwenye catalogue.

Nyimbo zote ambazo amekuwa akitoa, zinahit kidogo Tiktok, baada ya mwezi zinapotea.

Hii taarifa yake kwamba ameachana na Diamond its an obvious showbiz prank ili kuteka attention ya mashabiki.

Everytime Zuchu akiwa anataka kufanya jambo lake amekuwa akitumia hii kiki ya kuachana na huyo Diamond ili apate attention ya mashabiki.

Its all showbiz.

Nitawapa taarifa kamili, subirini kwanza nimpige mi-tree.......maana naona simu zake zimezidi siku hizi.
 
Huyu mtoto nitamuoa.sema chibu anambania rizk.
Anakaba tu kufunga hafungi
 
Wakuu.

Ni wazi kuwa tangu mwaka huu uanze Zuchu hana any solid projects kwenye catalogue.

Nyimbo zote ambazo amekuwa akitoa, zinahit kidogo Tiktok, baada ya mwezi zinapotea.

Hii taarifa yake kwamba ameachana na Diamond its an obvious showbiz prank ili kuteka attention ya mashabiki.

Everytime Zuchu akiwa anataka kufanya jambo lake amekuwa akitumia hii kiki ya kuachana na huyo Diamond ili apate attention ya mashabiki.

Its all showbiz.

Tupo kwenye maandalizi ya uchaguzi, ma ccm yameiba mpaka yanaona aibu, yamekata majina ya wapinzani, na ya kwao bila kujua, sasa ili kupoteza lengo,anzisha upuuzi wa Mond na Zuchu, au yanga na Simba, au zusha Makonda kapewa sumu! Wa bongo wataacha kufatilia ya msingi, watazama huko
 
Huyu zuhura uduwanzi haumpendezi hata kidogo, hizi habari zake za kuachana utasema husiano lenyewe lina uhai basi.
 
Mashabiki wa huyo mtu na label kiujumla ni kama matahira

No wonder watu wa mbeya wakaamua kufanya yao, huwa hawapendi ujinga.
 
Ndio kuna wangese walikuwa wanaulizia who is dating Jay Melody... Ama ni gay? Kwasababu anahit bila hizi kick zao... Ifike mahali kick ziende pembeni tuone wapi panavuja..
 
Tupo kwenye maandalizi ya uchaguzi, ma ccm yameiba mpaka yanaona aibu, yamekata majina ya wapinzani, na ya kwao bila kujua, sasa ili kupoteza lengo,anzisha upuuzi wa Mond na Zuchu, au yanga na Simba, au zusha Makonda kapewa sumu! Wa bongo wataacha kufatilia ya msingi, watazama huko

Mkuu utakuwa umekosea jukwaa.

Hapa ni jukwaa la Celebrities. Haimaanishi kwamba tukichangia hapa na mambo ya siasa pia hatuchangii.

Au unadhani tusipomfuatilia Zuchu ndo CCM wataacha kuiba uchaguzi?
 
Wakuu.

Ni wazi kuwa tangu mwaka huu uanze Zuchu hana any solid projects kwenye catalogue.

Nyimbo zote ambazo amekuwa akitoa, zinahit kidogo Tiktok, baada ya mwezi zinapotea.

Hii taarifa yake kwamba ameachana na Diamond its an obvious showbiz prank ili kuteka attention ya mashabiki.

Everytime Zuchu akiwa anataka kufanya jambo lake amekuwa akitumia hii kiki ya kuachana na huyo Diamond ili apate attention ya mashabiki.

Its all showbiz.

Siku hizi ndoa zinafungwa ticktok na kuvunjikia insta
 
 
 
Back
Top Bottom