Zuchu avunja rekodi nyingine huko Boomplay

Zuchu avunja rekodi nyingine huko Boomplay

Tea Party

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2019
Posts
658
Reaction score
1,133
Last born kutokea WCB anaendelea kutikisa nyavu za Bongo Fleva baada ya kutengeneza rekodi mpya huko Boomplay.

Ile EP yake ya I AM ZUCHU imeshafikisha streams Milioni 10 Kwenye App Ya Boomplay.

Kwa Afrika mashariki hakuna Album wala EP iliyowahi kufikisha streams hizo ndani ya Boomplay. Sio Bosi wake Diamond wala Konde alishawahi kufikisha that number of streams kupitia album.

Swali ambalo najiuliza ni je Zuchu ataweza kuvunja rekodi yake mwenyewe?

1619893056585.png
 
Zuchu baada ya two years from now atakuwa msanii mkubwa wa kike Africa. Yani itakuwa ukitaja wasanii wazito Africa wa kike sijui Yemi sijui Tiwa na Zuchu atakuwa kwenye hiyo list.
 
Last born kutokea WCB anaendelea kutikisa nyavu za Bongo Fleva baada ya kutengeneza rekodi mpya huko Boomplay.

Ile EP yake ya I AM ZUCHU imeshafikisha streams Milioni 10 Kwenye App Ya Boomplay.

Kwa Afrika mashariki hakuna Album wala EP iliyowahi kufikisha streams hizo ndani ya Boomplay. Sio Bosi wake Diamond wala Konde alishawahi kufikisha that number of streams kupitia album.

Swali ambalo najiuliza ni je Zuchu ataweza kuvunja rekodi yake mwenyewe?

Wakala wake umeandika vyema sana
 
Zuchu baada ya two years from now atakuwa msanii mkubwa wa kike Africa. Yani itakuwa ukitaja wasanii wazito Africa wa kike sijui Yemi sijui Tiwa na Zuchu atakuwa kwenye hiyo list.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi ndoto zenu za mchana, muwage mnazikatisha kwani lol, mtakuja mjikojolee huku mnatembea lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi ndoto zenu za mchana, muwage mnazikatisha kwani lol, mtakuja mjikojolee huku mnatembea lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Labda Kama hupendi vya. Nyumbani ndo hutabisha na kumbuka hapo zuchu bado hajaanza international collabo zaid ya zile mbili halizofanya na joeboy na olakira
 
Labda Kama hupendi vya. Nyumbani ndo hutabisha na kumbuka hapo zuchu bado hajaanza international collabo zaid ya zile mbili halizofanya na joeboy na olakira
Andika vizuri bas, papara za nini? Haya kunywa maji mengi na upumzike.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi ndoto zenu za mchana, muwage mnazikatisha kwani lol, mtakuja mjikojolee huku mnatembea lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilichoandika hapa sio ndoto, Zuchu projection yake inaonyesha hivyo ana vitu vikubwa sana vinakuja.
 
Last born kutokea WCB anaendelea kutikisa nyavu za Bongo Fleva baada ya kutengeneza rekodi mpya huko Boomplay.

Ile EP yake ya I AM ZUCHU imeshafikisha streams Milioni 10 Kwenye App Ya Boomplay.

Kwa Afrika mashariki hakuna Album wala EP iliyowahi kufikisha streams hizo ndani ya Boomplay. Sio Bosi wake Diamond wala Konde alishawahi kufikisha that number of streams kupitia album.

Swali ambalo najiuliza ni je Zuchu ataweza kuvunja rekodi yake mwenyewe?

Hayuko vizuri kwenye international collabos, ila akisimama mwenyewe kwenye ngoma yule mtoto ni laana
 
Back
Top Bottom