sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Inawezekana Kiba ni overrated ila kialisia Zuchu anamzidi?Kibakuli kimepinduliwa
Umekosa premises za kupambanisha.Kwa msanii mkongwe kama Ali Kiba kushindwa kumpiku Zuchu ni aibu kubwa sana.
Inamaana Zuchu amekuwa mkubwa kuliko Ali Kiba?
Ni maswali tu wanayojiuliza wataalam wa mambo ya muziki.
View attachment 1834372
Kwa case ya views nngekuunga mkono kwamba Zuchu ameiweka mda mrefu kuliko Kiba , ila kwa case ya trend kipya ndicho hutrend kuliko kilichotangulia.Umekosa premises za kupambanisha.
Moja ni video na nyingine ni Audio!!
Moja ina wiki 1 nyingine siku 4.
Unakijua ulichoongea au umekurupukaUsijisahaulishe Mond nae haonekani hapo tena ndo katupwa mbali kabisa.
Chawa bwana wanafurahisha...Umekosa premises za kupambanisha.
Moja ni video na nyingine ni Audio!!
Moja ina wiki 1 nyingine siku 4.
Umemaliza kila kitu...Kiba kamshindwa ZuchuKwa case ya views nngekuunga mkono kwamba Zuchu ameiweka mda mrefu kuliko Kiba , ila kwa case ya trend kipya ndicho hutrend kuliko kilichotangulia.
Ali Kiba hamuwezi ZuchuSawa tumekubali
Nenda kwa shoga yako zuchu binti mkapige umbea...
Hatuna la kuongea na wewe
Anhaaa kumbe ulikua unashindanisha DANCE VIDEO na AUDIO?...haya ubarikiwe na BURNABOY.Kwa msanii mkongwe kama Ali Kiba kushindwa kumpiku Zuchu ni aibu kubwa sana.
Inamaana Zuchu amekuwa mkubwa kuliko Ali Kiba?
Ni maswali tu wanayojiuliza wataalam wa mambo ya muziki.
View attachment 1834372
Kwa hiyo zuchu kamfunika had boss wake mbona husemi nae ana 1.4Unakijua ulichoongea au umekurupuka
View attachment 1834428
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Video ya zuchu ina muda gani na diamond inamuda ganiKwa hiyo zuchu kamfunika had boss wake mbona husemi nae ana 1.4
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani masai anasemaje!
Ukijielewa rudi.Video ya zuchu ina muda gani na diamond inamuda gani
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app