Zuchu nlikuwa nakaonaga katoto ka 2000 tu kumbe ajuza wa kwenda,asa hapa mbn kama team ya wcb imefeli pakubwa mana kwa umri wa zuchu ata akichuana na tyla atoboi ata kidogo,age imeenda ata kasi yake ya kufikiri jumbe za kueleweka lazima iende low kadri umri unavyopanda...Wcb ni label kubwa sana watuletee katoto ka 2000 ambaye dam bado changa aweze kukimbizana na musician wengine worldwide.
Ni mtazamo tu
🤣🤣🤣Fata mambo yako witch. Usiku wote huu watu wamelala wewe unawaza fitina, tabia za kichawi.
ni kweli mziki hauhitaji umri ila kwa ushindani wa muziki wa sasa umri una matter sana hasa kwenye kutuliza akili kutunga mashairi ya maana ili kukimbizana na vijana ambao dam inachemkaMziki hauhitaji umri kama michezo mfano mpira wa miguu
Mziki ni kipaji chako tu
soma uelewe sio unakurupuka tuZuchi ashindane na tyla tena? Tyla huyu mshindi wa Grammy
What a joke
hapo fitina iko wapi? Unaelewa ata maana ya fitinaFata mambo yako witch. Usiku wote huu watu wamelala wewe unawaza fitina, tabia za kichawi.
mods wafanye nin sasa? Mbn unakuwa ka hamnazo,wewe usiye na ujinga umeweka nini hum kwenye jf cha maana kiachwe?Nadhani Mods wa jamii forum kuna aja ya kuanza kufanya upembuzi yakinifu kabla ya kuaachia tu hawa waleta post wajipostie uninga kama wa hii thread ili kutuepusha kutujazia Savers na spaces kwenye simu zetu bila sababu za msingi.
so lazm uelewe,ukiona huelewi pita hvAkili unazo kwel unaandik nn sas
ni wanzzuki sio wanzukijina unaitwa wanzuki
we zimo kweli?,hili jukwaa la siasa au ndo umelewa asubuh yote hii?Hili ni jukwaa la siasa tunaomba maswala ya burudani muende kwenye jukwaa lenu
Karibia amkute na ampite dogo sepetu😄😄Zuchu nlikuwa nakaonaga katoto
Nikianza kushughulika na wewe usipige kelelewe zimo kweli?,hili jukwaa la siasa au ndo umelewa asubuh yote hii?
Kakatwe hukoNikianza kushughulika na wewe usipige kelele